GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Kama Wewe ni mwana Yanga SC mwenzangu basi nakuomba haraka sana mwambie mwana Yanga SC mwenzako popote pale alipo kuwa mpaka hivi sasa nimetoka Kuangalia Nujumu ( Tabiri ) za Kiuchawi zinasema kuwa Kesho Yanga SC inafungwa Goli nyingi na Zesco United hivyo wana Yanga SC wote msipoteze muda wenu kwenda Uwanjani na wale ambao labda mpo safarini sasa kuja Dar es Salaam geuzeni tu hapo mlipo mrudi Kwenu huko Mikoani.
Msiseme sikuwaambieni. Shauri zenu!
Tuungane Kuung'oa Madarakani huu Uongozi wetu wa Yanga SC na kama wakikataa basi wana Yanga SC wote tuhamie zetu Simba SC.
Msiseme sikuwaambieni. Shauri zenu!
Tuungane Kuung'oa Madarakani huu Uongozi wetu wa Yanga SC na kama wakikataa basi wana Yanga SC wote tuhamie zetu Simba SC.