Kwa nn baadhi ya wanawake wakipata pesa zaidi ya mumewe..........

Sasa hao kama ni hivyo.......huyo jamaa anapumua kwa msaada wa mapafu ya mkewe???????
Au ndo mambo ya "i cant live without you my wife..........................."
wote wanafanya kazi sehemu moja,maybe juu ya yote hawezi kuishi bila mke wake.hata afanyiwe vituko vipi.
 
 
Runner, Pole kwa hayo yote

Kama hakua hivyo kabla atakua kapata mwalimu anaemdanganya

Lakini kama Wewe hukumfanya awe MKE WAKO kabla, hiyo ndio gharama ya wewe kuacha kukalia kiti cahako cha MUME

Lakufanya ni kuelezana ukweli ili kila mmoja akalie kiti chake ili ndoa iendelee
 

Maswali yaliyoulizwa hapo juu ni muhimu sana kusaidia katika kumwelewa huyo mama. Saikolojia yote ya huyo mama imefichwa kwenye swali namba 5 na 6. Naomba mhusika ayajibu ili tujue tatizo la huyo mama maana ananishangaza kwa ulimbukeni wake.
 
Maswali yaliyoulizwa hapo juu ni muhimu sana kusaidia katika kumwelewa huyo mama. Saikolojia yote ya huyo mama imefichwa kwenye swali namba 5 na 6. Naomba mhusika ayajibu ili tujue tatizo la huyo mama maana ananishangaza kwa ulimbukeni wake.

 
Maswali yaliyoulizwa hapo juu ni muhimu sana kusaidia katika kumwelewa huyo mama. Saikolojia yote ya huyo mama imefichwa kwenye swali namba 5 na 6. Naomba mhusika ayajibu ili tujue tatizo la huyo mama maana ananishangaza kwa ulimbukeni wake.
Yalishajibiwa.........
 
Kwanza Pole ndugu yangu. Lililotokea hapo ni kitu kinachoitwa jeuri ya fedha. Fedha inaposhikwa na mtu asiye hekima inajeuka kuwa madhara kabisa na hili pia ni kwa pande zote (MONEY CHANGE BEHAVIOUR). It seems huyu hajazoea kushika hela, sasa zimempa psychological reaction na nguvu fulani. Badala nguvu hiyo kuitumia kusolve issues nyingine, zimempa empowerment kuwa sawa na wewe. Kama ni mtu wa maombi inabidi usali sana kwa stage kama hii. Pia kama kuna mshauri unaweza kumconsalt amkalishe chini na fanya hivyo kwa haraka maana as time goes it will be even more worse. Na pia usijaribu kabisa kushindana naye, endelea kumpenda kwa sana, hiyo ni dawa tosha kuliko kuanza kuonyesha any negative reaction.
 

Kaka kuwa mpole kabisa hivyo vijisenti vikiisha atakuwa mdogo kama Piriton.Baadhi yao ndivyo walivyo wakipata wanataka hadi majukumu ya ndani mbadilshane yaani we ufue, upike and so forth...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…