Ndugu Bruce Lee alijibu vizuri. Wenye biashara hii ya mafuta wengi ni Waislamu na hivyo kwa imani yao ni thawabu kubwa kujenga msikiti sehemu ambayo kuna watu wengi, wasafiri, ili wapate sehemu ya kuswalia ikiwa ni pamoja na wao wenyewe. Na tumeambiwa hapa pia katika vituo vinavyomilikiwa na baadhi ya Wakristo nao wamejenga makanisa kwa ajili hiyo hiyo ya ibada. Hakuna jingine, tuache hisia mbaya katika dini zetu.
Lakini pia katika vituo vingi kuna Super Markets. Je hizi wamiliki wake ni QWaaislamu au Wakristo? Tafakari.
mkm