Kwa nini

Kwa nini

BOROYOUNG

Member
Joined
Aug 14, 2014
Posts
14
Reaction score
1
Wakuu mimi kuna kitu kinanishangaza sana this days.zamani kidogo kwenye tendo la ndoa na mpenzi wako,ni lazima au ilikuwa ni desturi ukishusha lazima akuwahi na kitambaa ili akusafidhe dushee.lakini siku hizi dada zetu hawana habari ukishamaliza ni wewe mwenye ndio uende toilet ukajisafishe.hii imekaaje wakuu nawasilisha
 
Dah...Yaani personal issues na mkeo Unataka tukushauri? Si umuulize sasa?
 
Enzi za unyago na enzi za kitchen party wapi na wapi!!! labda umfunze mrembo kitambaa ni muhimu kwenye sita kwa sita.

Wakuu mimi kuna kitu kinanishangaza sana this days.zamani kidogo kwenye tendo la ndoa na mpenzi wako,ni lazima au ilikuwa ni desturi ukishusha lazima akuwahi na kitambaa ili akusafidhe dushee.lakini siku hizi dada zetu hawana habari ukishamaliza ni wewe mwenye ndio uende toilet ukajisafishe.hii imekaaje wakuu nawasilisha
 
Afu the gunners leo wameshinda..!! We shusha mzigo tu huko..!!
 
Ooh! men every thing is about U, hata kufuta? complain inazidi sana. Thanks any way ngoja nifanye practice usiku huu na kuanzia kesho nakuja kukupa changes zitakazo tokea baada ya kumfuta dear wangu.Hahaaaaa big up.
 
Khaaa yaani watu wengine mnaboa saaana maswali mengine ya ajabu si ni umuulize huyo mwanamke wako??.. Unakuja kutuuliza siye..
Kwani ukijifuta wewe inakuwaje??
Mapenzi sio ufalme..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom