BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
kuna x'bf mmoja hata outings alizokuwa ananitoa mie naishia kulipia zote basi siku alinijia na hii kwa sms ''babes unaweza kuniboost shs. 50,000''. Nilimjibu nakusaidia hii tu ila don't make it a habit. mwenyewe akasign off uhusiano kumbe alizoea miteremko alipotoka baada ya kumfuatilia!!
Siku hizi kuna mengi maana kuna wengine tunashindana nao urembo na kina M.A.C sasa kwanini wasipende kulelewa.
Siku hizi kuna mengi maana kuna wengine tunashindana nao urembo na kina M.A.C sasa kwanini wasipende kulelewa.