Kwa nini wanaolia kwenye msiba ni wanawake peke yake

Siyo tu kulia Misibani bali hata kushangilia sana kwenye sherehe kama vile harusi, mahafali, sikukuu za kuzaliwa na nyinginezo. hii inatokana na wanawake kuwa na vionjo na hisia zaidi kuliko wanaume!.
Aiseee, ni kweli kabisa, hata kushangilia wao wanaji-exclude kabisa, thanks kwa nyongeza
 
Kuna wanaume wanalia...nilishawahi enda msiba huyo kaka alifiwa na mkewe mtarajiwa a week before harusi yao. Yule kaka alilia mpaka akazimia. So si kwamba wanaume hawalii completely misibani. Inatokea cases hulia pia.
Ni kweli bwana yaani hawa wanachagua matukio ya kulia, ila mazingira hayo asipolia ujue ana shida moyoni na unaweshangaa anadondoka na kuzimia ghafla
 
ukilia unaondoa machungu then unasahau ila ukilia ndani kwa ndani uchungu unajilundika mwishowe unaugua vidonda vya tumbo, kisukari, shinikizo la damu n.k
Ni kweli bwana better ulie kuondoa machungu
 
Wanawake wanabeba mimba miezi tisa pamoja na adha zote za mimba hiyo. Kisha huzaa kwa uchungu au kwa kukatwa matumbo yao na wanauguza vidonda bada ya kuzaa. Hivyo basi wao ndio wana uchungu wa kumpoteza binadamu ambaye walimbeba miezi tisa, na kumzaa kwa uchungu na kuuguza kidonda baada ya kumzaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…