Kwa nini ugiriki?

Kwa nini ugiriki?

mountain

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2012
Posts
757
Reaction score
311
Habari ndugu.... Ninaomben mwenye ujuzi wa kile kinachoendelea ugiriki na maden yanayoikumba.. Tatizo haswa ni nn.? Mbona European Union imeikomalia sana...? Kuna wakati naona influence za urus kwa ugiriki nashindwa kuelewa pia katika hilo... Na swal la mwisho ni je nchi zote za ulaya zinaidai ugiriki? Au ugiriki ilikopa hela ndan ya umoja huo.
 
If Greece and its 11 million people left the European Union, it would be an unprecedented move within the monetary system that gave birth to the currency known as the euro.
A referendum, which has already been criticized as confusing and illegal, scheduled on Sunday will help determine whether a "Grexit" -- Greek exit -- from the 19-nation currency bloc could become a reality.

Here are some of the things that could happen if Greece ultimately leaves the European Union:


1. Nationalize Greece's Banking System


One source with Greece's ruling Syriza party said leaders have discussed the possibility of nationalizing the country's banking system, according to The Telgraph.
"We will shut down the banks and nationalise them, and then issue IOUs if we have to, and we all know what this means. What we will not do is become a protectorate of the E.U.,” the source told The Telegraph.
gty_greek_prime_minister_kb_150701_4x3_992.jpg
Yorgos Karahalis/Bloomberg via Getty Images

PHOTO: Alexis Tsipras, Greece's prime minister, center, takes his seat for a televised interview in Athens, Greece, June 29, 2015.


2. Introduce a New Currency


A country has never left the E.U., so it's difficult to predict what Greece would do once the euro loses its legal tender status there, experts said.
A parallel currency could be used for a while, Hari Tsoukas, a professor of organization studies at Warwick Business School in the U.K., told ABC News.
Greece became a member of the E.U. in 2001 and adopted euro banknotes and coins in January 2002 after a transitional period. The dual circulation period, "when both the Greek drachma and the euro had legal tender status," ended on Feb. 28, 2002, according to the EU's website.
ap_greece_2_kb_150701_4x3_992.jpg
Petros Giannakouris/AP Photo

PHOTO: Pensioners line up as the wait to be allowed into a bank in Athens, July 1, 2015 , and withdraw a maximum 120 euros for the week, during capital controls in Greece.


3. Return to the Drachma


Tsoukas said it's likely that Greece would eventually revert to the drachma if the euro is no longer its main currency.
If the Greeks reverted to the drachma, the value of the Greek currency could drop considerably, with depreciation in the level of 40 percent against the dollar due to a large sell off of the currency, Valentin Marinov, head of Group-of-10 currency research at Credit Agricole SA in London, toldBloomberg. Greece: What Could Happen If Country Leaves the European Union - ABC News
 
Habari wakuu.
Ninaomba kuujua mgogoro unaofukuta kwa miaka sasa wa Uchumi dhidi ya mataifa yanayotumia sarafu ya Euro.
Mwenye kujua chochote
naomba kuwasilisha
 

For a people not in such a setting there is a lot to learn!
EAST AFRICAN NATIONS, ESPECIALLY TANZANIA, SHOULD BE VERY CAREFUL ABOUT MONETARY UNIONS IF THEY DON'T WANT TO LOSE WHATEVER LITTLE SOVEREIGNITY THEY RETAIN!
 
Habari wakuu.
Ninaomba kuujua mgogoro unaofukuta kwa miaka sasa wa Uchumi dhidi ya mataifa yanayotumia sarafu ya Euro.
Mwenye kujua chochote
naomba kuwasilisha

Serikali corrupt haikusanyi kodi, na inapokuwa na matumizi makubwa kuliko mapato, matokeo yake ndo hayo!
 
Pesa nyingi ilikwenda jeshini, Ugiriki ni moja kati ya nchi zenye jeshi lenye nguvu barani Ulaya
 
Pesa nyingi ilikwenda jeshini, Ugiriki ni moja kati ya nchi zenye jeshi lenye nguvu barani Ulaya

acha kujaza server na utumbo kama huu!!!

reality of the matter is capitalist system is not self sustaining, for a country to sustain capitalist system it must exploit the weaker neighbour and in europe greece is one of them hence it has nothing it can do....... ile ngonjera ya ubepari ni unyama huu ndio mfano mmoja wake!!!

greece capiltaist economy iko ktk saturated point na hawana wakumu exploit kilichobaki wanategemea huruma tu za wakubwa wao sasa!!!

ktk level ya chini hapa east africa ndio mana kenya wao capitalism iko ktk saturated point, inaitaj kupata jiran wa ku exploit ndio maan wako so desperate na east africa community, walipofikia kenya can not self sustain inaitaj ku exploit neighbouring economies!!!!
 
Habari wakuu.
Ninaomba kuujua mgogoro unaofukuta kwa miaka sasa wa Uchumi dhidi ya mataifa yanayotumia sarafu ya Euro.
Mwenye kujua chochote
naomba kuwasilisha
tatizo lililopo ni kwamba ugiriki uchumi wao umeyumba kwa sasa, na wanahitaji kupewa mkopo kutoka kw wahisani wake, lakina pia wanadaiwa zaid ya euro bil20, masharti waliyopewa na wakopeshaji wake ni magumu sana yaan, WB na IMF wapo tayari kuwakopesha euro bil35 kw masharti ya kukatwa deni ktk mkopo watakao pewa, ugiriki hapo anaona kizungumkuti yaani akope euro bil35 then akatwe zaidi ya euro bil20? halafu abakiwe na deni la euro bil35? hapo ndipo utata ulipo. mda wa kulipa deni umepita na ugirik uchumi uko ovyo wana hitaj msaada ila wanaona masharti magumu.
 
Back
Top Bottom