Kwa nini tunafuatana fuatana kama kumbi kumbi??

GM angalia comments zako, jaribu ku neutralize, usiandike kana kwamba kuna mtu umedhamiria kumpelekea ujumbe. Kuna thread yako tulikuwa tunaijadili naona kama vile mods wameiondoa, and i think it was because of your commets, it's just like you've posted the thread for certain person that I can't mention any way! Just neutralize so that the thread is for all browsers. Sorry for any inconvenience caused. Thank you


the 1 who cozd the thread 2 b removed is Lizzy & me argue. so far no 1 has done so but her. the msg is 4 all those who ar concerned.
 
Sasa niumie kwa lipi jamani?
Wakujirekebisha ni wewe uliyekua unatukana wakati mimi nimetulia tuli.

Lizzy, punguzeni jazba jf ni yetu sote, tupenda, tujadiliane kwa moyo wa upendo. Bahati mbaya niliwahi kupitia kitengo cha kulazimisha mtu kuwa na nidhamu bila kupenda. This jf, tusifike huko!
 
Wanawake tupendane, mambo mengine yanatushushia hadhi,tukishindwa kwa madogo hata makubwa tutapata shida kuyamudu.

Changamoto ziko kila mahali,tuvumiliane,tuheshimu tofauti zilizopo baina yetu na tusaidiane.
 
Lizzy, punguzeni jazba jf ni yetu sote, tupenda, tujadiliane kwa moyo wa upendo. Bahati mbaya niliwahi kupitia kitengo cha kulazimisha mtu kuwa na nidhamu bila kupenda. This jf, tusifike huko!

worst enemies can become best friends just singing
 
Wanawake tupendane, mambo mengine yanatushushia hadhi,tukishindwa kwa madogo hata makubwa tutapata shida kuyamudu.

Changamoto ziko kila mahali,tuvumiliane,tuheshimu tofauti zilizopo baina yetu na tusaidiane.

miss u dear,za jumapili?
 
Lizzy, punguzeni jazba jf ni yetu sote, tupenda, tujadiliane kwa moyo wa upendo. Bahati mbaya niliwahi kupitia kitengo cha kulazimisha mtu kuwa na nidhamu bila kupenda. This jf, tusifike huko!
Wewe nawe. . hiyo jazba unayonilazimishia iko wapi?
 
Wanawake tupendane, mambo mengine yanatushushia hadhi,tukishindwa kwa madogo hata makubwa tutapata shida kuyamudu.

Changamoto ziko kila mahali,tuvumiliane,tuheshimu tofauti zilizopo baina yetu na tusaidiane.

Well said Michelle!
Kuheshimiana ni mpango mzima; na hasa mawazo ya kila mmoja wetu.
 
the 1 who cozd the thread 2 b removed is Lizzy & me argue. so far no 1 has done so but her. the msg is 4 all those who ar concerned.

ok, I think we are all concerned, so long we are the one's browsing. Anyway keep it up, let move on.
Jf is never boring-(The Boss)!
 
Back
Top Bottom