Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,725
- 2,007
Leo nimepita mitaa fulani nimepishana na fordranger M4C mbili, na dinga 4 nyingine ikiwemo ya KUB. Hakika nikaona watu wanaulizana na kushangaaa. nikamsikia mkaka anasema hawa jamaa hatari sana. nikamuuliza kivipi, kajibu tunawakubali sana na tunawasubiri.
Nimepita soko kuu nakuta bodaboda wanazungumzia kuwamiss chadema sana. naamini wataporuhusu siasa za majukwaani.
Naomba mwenye picha ya zile gari M4C atuwekee hapa, hupendeza kuziona tu.
Nimepita soko kuu nakuta bodaboda wanazungumzia kuwamiss chadema sana. naamini wataporuhusu siasa za majukwaani.
Naomba mwenye picha ya zile gari M4C atuwekee hapa, hupendeza kuziona tu.