Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
SASA HAPO NDIPO UTAKUJA KUELEWA UKRISTU HUU SIO DINI ILE ALIYOIACHA YESU...Wasalaam waungwana
Miaka ya nyuma suala la msiba lilikua ni la kuhuzunisha sana yani nyumba ya wafiwa inagubikwa na vilio,simanzi na masikitiko
Majirani na watu wengine wanawafariji wafiwa,huku mchango ukipita ili kuandaa chochote kitu kwa ajili ya waliohudhuria mazishini
Kaburi linachimbwa jeneza linaletwa linafukiwa udongoni na kuhitimisha Yale maandiko ya kuwa tumetoka udongoni na udongoni tutarejea
Baada ya maziko watu wanarudi nyumbani maisha yanaendelea
Ila siku hizi msiba umekua sherehe unakodiwa muziki mnene zitapigwa nyimbo za kila aina ,bia zitanyweka na mavyakula ya kila aina yataliwa
Wafiwa nao wanalia kidogo tu baada ya hapo wanapata nguvu ya kupiga selfie na kutupiwa mtandao huku wakijifanya kuwa na huzuni kuu
Kaburi litachimbwa udongo utatupwa huko ,sasa malumalu inashika hatamu ,kaburi linapambwa jeneza linaingizwa juu linafuata zege la bei mbaya habari imekwisha
Sasa cha ajabu wakati marehemu anaumwa aliteseka sana kwa kukosa hela ya matibabu Leo amekufa hana thamani tena basi anagharamiwa na kufanyiwa sherehe baada ya yeye kufa
Je hali hii inasababishwa na utandawazi,kuiga tamaduni za nje au roho mbaya tu waliyo nayo watu hadi suala la huzuni kwao halipo!???
sikuizi tunafuraia maisha yako ya mwisho ukifa bulaza hadi leo kama hujui kama kila mtu atakufa unahuzunika nini sasa wakat wewe mwenyewe upo kwenye mstari....................sikuizi hakuna kulia tunashereke maisha yako ya mwishi ndio kauli mbiu yetu 🤣🤣🤣🤣🤣Wasalaam waungwana
Miaka ya nyuma suala la msiba lilikua ni la kuhuzunisha sana yani nyumba ya wafiwa inagubikwa na vilio,simanzi na masikitiko
Majirani na watu wengine wanawafariji wafiwa,huku mchango ukipita ili kuandaa chochote kitu kwa ajili ya waliohudhuria mazishini
Kaburi linachimbwa jeneza linaletwa linafukiwa udongoni na kuhitimisha Yale maandiko ya kuwa tumetoka udongoni na udongoni tutarejea
Baada ya maziko watu wanarudi nyumbani maisha yanaendelea
Ila siku hizi msiba umekua sherehe unakodiwa muziki mnene zitapigwa nyimbo za kila aina ,bia zitanyweka na mavyakula ya kila aina yataliwa
Wafiwa nao wanalia kidogo tu baada ya hapo wanapata nguvu ya kupiga selfie na kutupiwa mtandao huku wakijifanya kuwa na huzuni kuu
Kaburi litachimbwa udongo utatupwa huko ,sasa malumalu inashika hatamu ,kaburi linapambwa jeneza linaingizwa juu linafuata zege la bei mbaya habari imekwisha
Sasa cha ajabu wakati marehemu anaumwa aliteseka sana kwa kukosa hela ya matibabu Leo amekufa hana thamani tena basi anagharamiwa na kufanyiwa sherehe baada ya yeye kufa
Je hali hii inasababishwa na utandawazi,kuiga tamaduni za nje au roho mbaya tu waliyo nayo watu hadi suala la huzuni kwao halipo!???
Yes, MadameKwa sababu kuishi kwetu ni Kristo na kufa ni faida
Ha ha ha!!!Nyie ndiyo balaa... Kuna kabila lenu alifariki Mahali fulani... Ilikuwa sherehe karibia wiki nzima.Tena kabila langu msiba ni gharama kubwa sana !!
wewe umemaliza......agiza BAPA nalipia....Kwa sababu kuishi kwetu ni Kristo na kufa ni faida