MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,542
Situation hii inanisikitisha sana mipango haiendi vizuri kwa 100%, mikosi inainyemelea Tanzania nikianza na Airbus south africa ,bomba la mafuta kutoka Uganda naomba tukazane kusali kila mtu na Mungu ili mipango ya Tanzania hasa mradi wa umeme rufiji megawatt 2100 uweze kukamilika
WATASHINDANA LAKINI HAWATASHINDA.
WATASHINDANA LAKINI HAWATASHINDA.