Mimi nilishawahi kupata kazi TRA kupitia matangazo yao lakini sikuweza kufanya nao kazi baada ya kuona barua ya ajira, wana mishahara midogo hawa jamaa ila sijajua watumishi wake wanaojenga magholofa wanapata wapi pesa. Una kuta mtu ana Net pay 1.2M alafu kajenga gholofa sasa kwasisi tusio amini katika mazingaombwe inatuchanganya
Mimi nilishawahi kupata kazi TRA kupitia matangazo yao lakini sikuweza kufanya nao kazi baada ya kuona barua ya ajira, wana mishahara midogo hawa jamaa ila sijajua watumishi wake wanaojenga magholofa wanapata wapi pesa. Una kuta mtu ana Net pay 1.2M alafu kajenga gholofa sasa kwasisi tusio amini katika mazingaombwe inatuchanganya
bandari hii secta imejaaa--wahaya yani full ukabila
tra hii secta ni wachagga na wapare full ukabila...................kama ww sio kabila hutokei makabila haya sahau
kuajiliwa ndo maana unambiwa ni heri tanzania vita itokee tuuwane ili kila mtu apate mkate wa taifa
Mimi nilishawahi kupata kazi TRA kupitia matangazo yao lakini sikuweza kufanya nao kazi baada ya kuona barua ya ajira, wana mishahara midogo hawa jamaa ila sijajua watumishi wake wanaojenga magholofa wanapata wapi pesa. Una kuta mtu ana Net pay 1.2M alafu kajenga gholofa sasa kwasisi tusio amini katika mazingaombwe inatuchanganya
Fitina na mbwembwe hizo.
mbali na mishahara katika taasisi nyingi watu wanarun miradi binafsi,so if you think maghorofa yanajengwa kwa salary tu umepotea.
bandari hii secta imejaaa--wahaya yani full ukabila
tra hii secta ni wachagga na wapare full ukabila...................kama ww sio kabila hutokei makabila haya sahau
kuajiliwa ndo maana unambiwa ni heri tanzania vita itokee tuuwane ili kila mtu apate mkate wa taifa