I isiaka Member Joined Jun 1, 2012 Posts 17 Reaction score 2 Jun 2, 2012 Thread starter #21 sio mtu lakin kuna mshikaj baada ya mafanikio yake kila mtu kitaa anamdis sa cjui kwa nin.....inakuaje hii wanajamii
sio mtu lakin kuna mshikaj baada ya mafanikio yake kila mtu kitaa anamdis sa cjui kwa nin.....inakuaje hii wanajamii
Judgement JF-Expert Member Joined Nov 13, 2011 Posts 10,326 Reaction score 4,787 Jun 2, 2012 #22 charminglady said: kaibiwa mke lol! Click to expand... Acheni basi kunirusha stimu! MaJudges wakianza kuibiwa je wakulima itakua vipi ?
charminglady said: kaibiwa mke lol! Click to expand... Acheni basi kunirusha stimu! MaJudges wakianza kuibiwa je wakulima itakua vipi ?
I isiaka Member Joined Jun 1, 2012 Posts 17 Reaction score 2 Jun 2, 2012 Thread starter #23 wakulima itabidi tuache kumiliki hao wake sasa maana ni hatar sanaaa itakua