hata mimi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 1,356
- 1,437
Habari...
Kiswahili ni Kibantu, lugha nyingi za kibantu zina articles zao kama ilivyo kwa lugha zisizo za kibantu. Sasa huwa najiuliza sana ni kwanini Lugha ya Kiswahili inakosa articles rasmi badala yake zinajitokeza katika hali ambayo si sanifu mfano article huwa zinajitokeza katika kutukuza na kutweza/kubeza tu?
Kutukuza/kukubwaisha
Kisu.... likisu
Jiwe... mjiwe
(M)toto... litoto
Shule... mishule
Dagaa... madagaa
Kubeza/kudogoisha
Sufuria... kasufuria
Mwiko... kimwiko
Mawe... vimawe
Kiswahili ni Kibantu, lugha nyingi za kibantu zina articles zao kama ilivyo kwa lugha zisizo za kibantu. Sasa huwa najiuliza sana ni kwanini Lugha ya Kiswahili inakosa articles rasmi badala yake zinajitokeza katika hali ambayo si sanifu mfano article huwa zinajitokeza katika kutukuza na kutweza/kubeza tu?
Kutukuza/kukubwaisha
Kisu.... likisu
Jiwe... mjiwe
(M)toto... litoto
Shule... mishule
Dagaa... madagaa
Kubeza/kudogoisha
Sufuria... kasufuria
Mwiko... kimwiko
Mawe... vimawe