martinezstavo
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 736
- 1,547
- Thread starter
- #21
Nimechekaa sanaaa kwa hii statement mkuu( hata kupika akijaga geto hataki anachonikera zaidi kuja geto kwangu kupaka ma sanitizer yake kwangu kama mganga anapiga ramli)
Mkuu huyo mwanamke ni wife material ila unahitaji mkakati wanamna ya kumbadilisha
Ushauri pata mda ukae naye ufahamu malengo yakee na wewe ili usije ukaingia kwenye mtego wa kuzaa na wewe na mwisho baadaye uko kwenye ndoa yako akaja kukuaharibia mood
ni bora uvumilie utafute mtu sahihi umuoe uzae naye kwa amani na ndoa yako iwe na amani mkuuu
Au kama unamuhitaji huyo mtu Piga kitu atatuliaa tuuu na wewe na unaoa vizur na maramli yake yanaisha mkuu
Natumai ushauri huu utakufaa mkuu
Kibori Nangai
Hii ndo sababu niliamua kuwashilikisha wakuu wangu
umenena vema sana kwa kuwa tunaskilizana ngoja njaribu mawazo yeNu