
- Joined
- Aug 20, 2013
- Messages
- 11,287
- Likes
- 3,722
- Points
- 280

Kibo10
JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013



Wadau wa jf natumai ni wazima wote kama kuna mtu yupo moshi vijijini au mjini atujuze kinachoendelea huko kwa bahati mbaya wengine tumepigwa pini hatukuweza kuwa maeneo hayo pia na sehemu nyingine za tz tunaweza kupeana updates ya kinachojiri huko asanteni.