Kwa mwenendo huu, siku moja serikali ya Tanzania itakuwa ya kijeshi

Kwa mwenendo huu, siku moja serikali ya Tanzania itakuwa ya kijeshi

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,514
Reaction score
6,070
Wakuu, kwa hali ya kisiasa ya style hii katika nchi, kuna harufu pengine jeshi lililo upande wa wananchi likaingilia kati, ipo siku tutalala tukiongozwa na Rais tunayemjua tukaamka na mamlaka ya kijeshi kama ilivyo huko 🇧🇫, 🇲🇱 na 🇳🇪.
 
Back
Top Bottom