Kwa Mwanamke Aliyetayari

Kwa Mwanamke Aliyetayari

Mapigo Saba

Senior Member
Joined
Dec 11, 2014
Posts
129
Reaction score
28
Mimi ni mwanaume miaka 29 naishi kanda ya ziwa nimeajiliwa na elimu yangu ni chuo kikuu, Najitokeza hapa kutafuta Mwanamke umri miaka 20-26 tu, awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, awe mrefu, mwembamba wa wastani na mkristu.


Awe Ameajiliwa/kujiajilia akiwa Mwalimu au Nurse itakuwa poa sana but not limited, kwa waliotayari wani-PM.
 
Hongera kwa kujieleza vema, nakuombea umpate wa kukidhi haja yako, na wala maana ya id yako, isiwe sehemu ya maisha yenu.
^^
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom