Hotuba yako ijikite kwa kutoa ahadi za vitendo, wawajibishwe wale wote wenye chembe chembe za ubadhilifu, Uhakikishe huduma zote zinakuwa chini, na si maneno tu. hata mashuleni ukitaka vijana waelewe unafundisha kwa vitendo.
CCM CCM CCM gani hii ya Nap, Nkap, JuaKali, Kinand au ipi kaka hii ni Cancer (malignant iliyosambaa mwili wote hakuna pa kuponya) tusubiri masaa yafike izikwe tu bahati mbaya hata ndugu zake wanajua kuwa yametimia
Nashauri chama changu cha mapinduzi kiige mfano wa zambia.pia ushaur wa dk lwaitama, wa ccm kuandaa mazingira ya kukabidhi madaraka kwa chadema kwa amani,uzingatiwe.
habari zenu wana jf wenzangu? Well ninatakiwa kutoa speech yenye kichwa cha habari "TUTARUDISHA VIPI IMANI YA WANANCHI KWA CCM?" so kama mwana ccm mwenzangu mwenye mapenzi mema na chama chetu plz ushauri wako ni muhimu . No jokes here.MUNGU IBARIKI TANZANIA.