we mleta mada ni mjinga sana, huwa watu kama wewe ni vigumu sana kubadilika, coz ipo kama haujui nn tatizo la ccm, unataka watu wakwambie, mpaka hapo unaangukia kwenye kundi moja la watu wa hatari sana anayeitwa"hajui na hajui kama hajui" ni matumain yangu unafaidika sana ndani ya ccm na hujui faida hyo unaipata kwa gharama za wa kodi za walala hoi na raslimali ambazo zingewanufaisha wengi