Sawa mkuu nimekuelewaSasa ukitaka kila mwenye uhitaji humu akupigie simu, huoni utapata usumbufu usio wa lazima? Kwa nini usitaje tu bei!
mfano hilo la juu, bei milioni 10! lakini mazungumzo yapo, nk. hapo sasa ndiyo wale wenye nia tu wangekupigia ili muweze kuyajenga.