Kwa mtindo huu uhuru wa kweli wa mahakama upo wapi?

YanguHaki

Senior Member
Oct 11, 2010
129
9
Kwa utaratibu huu wa sasa wa rais kuteua majaji kwa kadri inavyompendeza tutaboomoa mfumo wa sheria nchini. Wakati umefika majaji wasiteuliwe nje ya mfumo wa kimahakama! Kwangu uwakili na uhakimu ni vitu viwili tofauti japo wote ni wanasheria. Mmoja amebobea kutoa haki na mwingine kudai haki!
Mahakimu wanaandamizi ndio wapandishwe kuwa majaji na si vinginevyo kama baadhi ya nchi nyingine kama vile Pakistan. Hii itahakikisha kuwa na majaji wenye uweledi mkubwana wenye kufanya maamuzi ya haki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…