A revolutionist
Member
- Mar 1, 2012
- 61
- 10
Baraka mfilinge ni kijana wa miaka 25 sasa na amemaliza kidato cha sita mwaka 2011 katika shule ya sekondari kigurunyembe ambapo pia alikuwa co-ordinator wa YUNA(YOUTH UNITED NATIONS ASSOCIATION) pale shuleni kigurunyembe, baadaye alitunukiwa cheti cha utambuzi wa mchango wake kwa TAIFA kwa kuwa mhamasishaji wa utalii wa mambo ya ndani. Tangu alipomaliza shule amekuwa akijituma kujenga chama cha chadema jimboni kilolo ambapo mpaka sasa ametembelea kata 14 kati ya 22 na ukitaka kujua kuwa huyu kijana atachukua jimbo hili, kawauliza wananchi wa r.mbuyuni, mahenge, ilula, mlafu, udekwa, ilole, lugalo, mtitu, ng'uruhe, ukumbi, utengule nk. watakwambia mfilinge atakuwa mbunge wetu! jamani naomba kwa mtu yeyote anaejua uwezo wa kijana huyu katika kuukwaa ubunge ajitokeze hapa ili tujue nguvu yake nje ya mipaka ya jimbo kwani kwa uwezo wa kujenga hoja jukwani humuwezi! nawasilisha ili nayeye kama yupo hapa jf atoe comment.