Idugunde JF-Expert Member Joined May 21, 2020 Posts 7,170 Reaction score 8,622 Sep 26, 2025 #1 Usulutani na ufalme ndani ya Chama ambacho kiliundwa kutetea maslahi ya wakulima na wafanyakazi. 1. Salma Kikwete 2. Ridhiwan Kikwete 3.Wanu Hafidh Ameir 4. Abdul 5. Adul Mwinyi 6. Jesca Magufuli 7. Fred Lowassa 8. Mathayo David 9. Karume 10. Karume 11. Karume Orodha ni ndefu sana.
Usulutani na ufalme ndani ya Chama ambacho kiliundwa kutetea maslahi ya wakulima na wafanyakazi. 1. Salma Kikwete 2. Ridhiwan Kikwete 3.Wanu Hafidh Ameir 4. Abdul 5. Adul Mwinyi 6. Jesca Magufuli 7. Fred Lowassa 8. Mathayo David 9. Karume 10. Karume 11. Karume Orodha ni ndefu sana.
Single The Loner JF-Expert Member Joined Sep 13, 2024 Posts 805 Reaction score 1,354 Sep 26, 2025 #2 Maandiko matakatifu yanatukumbusha kuwa Daudi alikua kiongozi wa wana waisrael, Na suleiman ailikua kiongozi wa nchi hiyo hiyo, ukifuatilia kwa makini utagundua kuwa hawa ni mtu na babae, nimalize kwa kusema kuwa hakuna jipya chini ya jua.
Maandiko matakatifu yanatukumbusha kuwa Daudi alikua kiongozi wa wana waisrael, Na suleiman ailikua kiongozi wa nchi hiyo hiyo, ukifuatilia kwa makini utagundua kuwa hawa ni mtu na babae, nimalize kwa kusema kuwa hakuna jipya chini ya jua.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 359,869 Reaction score 828,400 Sep 27, 2025 #3 Idugunde said: Usulutani na ufalme ndani ya Chama ambacho kiliundwa kutetea maslahi ya wakulima na wafanyakazi. 1. Salma Kikwete 2. Ridhiwan Kikwete 3.Wanu Hafidh Ameir 4. Abdul 5. Adul Mwinyi 6. Jesca Magufuli 7. Fred Lowassa 8. Mathayo David 9. Karume 10. Karume 11. Karume Orodha ni ndefu sana. Click to expand... Usulutani na ufalme ndani ya Chama ambacho kiliundwa kutetea maslahi ya wakulima na wafanyakazi.✌🏿📌🔨
Idugunde said: Usulutani na ufalme ndani ya Chama ambacho kiliundwa kutetea maslahi ya wakulima na wafanyakazi. 1. Salma Kikwete 2. Ridhiwan Kikwete 3.Wanu Hafidh Ameir 4. Abdul 5. Adul Mwinyi 6. Jesca Magufuli 7. Fred Lowassa 8. Mathayo David 9. Karume 10. Karume 11. Karume Orodha ni ndefu sana. Click to expand... Usulutani na ufalme ndani ya Chama ambacho kiliundwa kutetea maslahi ya wakulima na wafanyakazi.✌🏿📌🔨
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 165,751 Reaction score 184,585 Sep 28, 2025 #4 Muda utaongea... Cc: Mahondaw