Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 424
- 1,044
Habari wana JF?
Nina mtaji wa Tsh. million 7 naweza kupata msaada wa kitaaramu wa biashara?
Nimeona niulize pia kwa ushauri wenu kwa ambao mpo humu, naweza kuanzisha biashara gani pale Katoro?
Nakaribisha maoni yenu
Nina mtaji wa Tsh. million 7 naweza kupata msaada wa kitaaramu wa biashara?
Nimeona niulize pia kwa ushauri wenu kwa ambao mpo humu, naweza kuanzisha biashara gani pale Katoro?
Nakaribisha maoni yenu