Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,917
- 1,660
:A S 465:Asalaam aleukum wana JF wote.
Naomba watu msinielewe vibaya kuuliza si ujinga kuna mambo mawili ambayo yanachanganya taasisi mbili muhimu hapa nchini!
taasisi ya kwanza ni Bunge kama mhimili wa pili wa dola . na pili ni taasisi ya Urais.
Wadau ninapochangayikiwa ni hapa nisaidieni:-
1. Wananchi hasa wanaokaa mijini wasomi na wasiokuwa wasomi ambao wana access na internet, kusoma magazeti nk wanasema Bunge limepoteza sifa kwa mambo mbalimbali kama vile uasi unaodaiwa kufanywa na mibunge ya CCM dhidi ya Mkuu wa Kaya. Wananchi hawa wanasema Rais avunje Bunge ili tufanye uchaguzi mpya ! Sawa kabisa ! swali langu je ni kweli Rais ana uwezo wa kuvunja Bunge? na yeye ataendelea kuwa Rais au ni kitu gani kitaundwa badala ya Bunge?
2. Wabunge nao wanaishutumu taasisi ya Urais kuwa ni legevu! kigeugeu (vita ya Posho,Sakata la Jairo ) na serikali pia ni legevu kwamba muda wowote wanaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na Rais! (Rejea post moja humu Jamii Forum inayomhusu Bity shelu.) wakipiga kura hii wao watakuwa na nafasi gani baada ya kutokuwa na imani na Rais aliewanyanyua mikono na kusema wao ni safi na kutuomba tumpe watu hao (mibunge ya CCM) ili akafanye nao kazi? Je wabunge kutokuwa na imani na Rais ndio kuwa tutafanya uchaguzi mpya nadi ya 90dayz!
Sasa ni nani zaidi hapo naomba mnielimishe si kwa hasira wala ushabiki wa vyama vyenu vya siasa . nataka kujua tu ili nami nichague pakuunga mkono!:juggle:
Naomba watu msinielewe vibaya kuuliza si ujinga kuna mambo mawili ambayo yanachanganya taasisi mbili muhimu hapa nchini!
taasisi ya kwanza ni Bunge kama mhimili wa pili wa dola . na pili ni taasisi ya Urais.
Wadau ninapochangayikiwa ni hapa nisaidieni:-
1. Wananchi hasa wanaokaa mijini wasomi na wasiokuwa wasomi ambao wana access na internet, kusoma magazeti nk wanasema Bunge limepoteza sifa kwa mambo mbalimbali kama vile uasi unaodaiwa kufanywa na mibunge ya CCM dhidi ya Mkuu wa Kaya. Wananchi hawa wanasema Rais avunje Bunge ili tufanye uchaguzi mpya ! Sawa kabisa ! swali langu je ni kweli Rais ana uwezo wa kuvunja Bunge? na yeye ataendelea kuwa Rais au ni kitu gani kitaundwa badala ya Bunge?
2. Wabunge nao wanaishutumu taasisi ya Urais kuwa ni legevu! kigeugeu (vita ya Posho,Sakata la Jairo ) na serikali pia ni legevu kwamba muda wowote wanaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na Rais! (Rejea post moja humu Jamii Forum inayomhusu Bity shelu.) wakipiga kura hii wao watakuwa na nafasi gani baada ya kutokuwa na imani na Rais aliewanyanyua mikono na kusema wao ni safi na kutuomba tumpe watu hao (mibunge ya CCM) ili akafanye nao kazi? Je wabunge kutokuwa na imani na Rais ndio kuwa tutafanya uchaguzi mpya nadi ya 90dayz!
Sasa ni nani zaidi hapo naomba mnielimishe si kwa hasira wala ushabiki wa vyama vyenu vya siasa . nataka kujua tu ili nami nichague pakuunga mkono!:juggle: