Kwa mlo huu niko sawa?

Jstar1

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2019
Posts
1,392
Reaction score
1,416
Wakuu katika hali yangu ya maisha, nina takriban miezi kadhaa huwa nakula mara 2 kwa siku, yaani chakula cha mchana nakula saa nne mfano (samaki na chapati 3, na juice) halafu nakuja kula jioni saa 12 au usiku muda usiozidi saa 4).

Kwa kufanya hivyo, toka mwaka 2019 nimekuwa na kilo 69, muda mwingine 71 mpaka 70 zinachezea humo) ila mwaka 2018 niliwa kuwa na kilo 89 ila mwili wangu ulikuwa hivi hivi...
 
 
Kama wataka kupungua zaidi

Ungepunguza chapati

Ina energy sana kuliko chakula cha wanga chochote, naiheshimu chapati.

Mi nikifanya diet huwa naila mara moja moja sana.
 
Kama wataka kupungua zaidi

Ungepunguza chapati

Ina energy sana kuliko chakula cha wanga chochote, naiheshimu chapati.

Mi nikifanya diet huwa naila mara moja moja sana.
Naomba ratiba yako
 
Sawa mkuu
 
Mkuu, wekeza zaidi kwenye matunda na mboga mboga ila milo miwili fresh tu. Sema hapa katikati usiache tumbo liwe wazi sana.

Unaweza kushtua na ndizi mbili hapo kati au chungwa.
 
Diet manina kweli, mwezi uluopita niliumwa moyo usiku nikajisemea kula kunaniuwa hivi hivi naacha wanangu. Sili diet lakini naona mpangilio wangu unanisaidia
 
Soma hapa Kwa maarifa zaidi kuhusu hilo.


 
Kuna somo alitoa Prof. Janabi wa Muhimbili linaweza kukusaidia kuelewa zaidi usahihi au utofauti wa kula yako, hebu mtafute youtube
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…