nyocksie
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 408
- 267
200KType bei kwa mwezi
200KType bei kwa mwezi
Nina apartment nzuri sana Mbeya,chumba self na sebule,zipo ndani ya uzio,maji na umeme 24/7.Bei ni mapatano,hakuna udalali.Karibuni sana
Zipo Sae karibu na pipeline 80,000 tu
nimecheka hasadalali wa papuch bila shaka
Elfu 80 ?Zipo Sae karibu na pipeline 80,000 tu
Yap!Elfu 80 ?
Tuwasailiane kwa no hii 0716432002,utazipenda tuSawa Bosi, vipi Mawasiliano ya Kuweza kufika hapo Sae. Pia unaweza angalau kutuwekea Picha kwa wale ambao hawapo Mbeya kwa sasa? Tuweze kujionea hali ya nyumba. Plz
Mkuu kwenyeagari unahusika???Habarini waungwana
Kwa huitaji wa nyumba ya kununua kupanga,shamba la kununua kukodisha,chumba au vyumba vya kupanga..dalali nipo hapa seriously
Unatupa namba ambayo haipo whatsaap picha utatuma kupitia nn sasaTuwasailiane kwa no hii 0716432002,utazipenda tu
Tuwasailiane kwa no hii 0716432002,utazipenda tu
Kuna nyumba veta! Ina vyumba vitano vyote master! Plus kuna mabanda ya kufugia kama ni mpenzi wa kufuga.
Dalali umerudiKha!watu wengne bhana asa we mkuu ndo nini kuja kutangaza hiyo apartment yako hapa afu eti hakuna udalali kha!kwann nawe usiweke tangazo lako jaman
Kha!watu wengne bhana asa we mkuu ndo nini kuja kutangaza hiyo apartment yako hapa afu eti hakuna udalali kha!kwann nawe usiweke tangazo lako jaman