Kwa Mkemia Mkuu (Chief Chemist)

kakuruvi

JF-Expert Member
Sep 2, 2009
770
256
WanaJf nawasalimu,

Taarifa ya juzi kwamba kwenye ofisi ya Mkemia Mkuu kumevunjwa na kuibiwa, imenifanya niwe na maswali hasa ukizingatia ni kwa mara ya tano kwa vipindi tofauti,

-Hao wezi hawana sehemu nyingine ya kuiba ni hapo tu?
-Hakuna ulinzi wowote eneo hilo?
-Jitihada gani zimefanywa kuanzisha ulinzi thabiti baada ya matukio yaliyotangulia?
 
Back
Top Bottom