GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Kati ya Baba na Mama yako Mzazi ni yupi ambaye kwa Mila zetu Sisi Waafrika unaweza ukamlalamikia kuwa Mkeo au Mumeo hakupi Mapenzi mazuri ya Kitandani huku ukienda mbele zaidi kwa Kumchambulia ( kumdadavulia kwa kina kabisa bila kumuonea aibu ) kuwa hakukatii Viuno tena, hakufikishi Kileleni, hakusugui Kinena, hakunyonyi Mapumbu yako, hakutekenyi na wala hakupi tena Denda kama awali?
Majibu yako yaendane za Mila za Kiafrika na ikiwezekana zaidi zaidi za Kitanzania tafadhali.
Nitashukuru na karibuni.
Majibu yako yaendane za Mila za Kiafrika na ikiwezekana zaidi zaidi za Kitanzania tafadhali.
Nitashukuru na karibuni.