Chrix_Tz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 880
- 1,101
- Thread starter
- #21
Hautapata gari iliokua kwenye mint condition, unaweza lipia iyo nikakupa gari we ukaacha card,ukalipa iliyobaki taratibu,hata laki kila mwezi,pindi utakavyomaliza ndo utachukua card yako,ikiwa ni pamoja na kufanya transfer
Sawa mkuu nashukuru kwahilo but nahis sitaweza hiyo ngoja niendelee na kutfuta km nitahitaji kufanya hivyo bas takuchek mkuu okey