Kwa mil.6 napata gari gani nzuri?

Kwa mil.6 napata gari gani nzuri?

Chrix_Tz

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
880
Reaction score
1,101
Hello wadau wa JF.... km kuna mwenye uzoefu na wauza magari kwa mwanza ningependa tujuzane hapa..... Nahitaji gari used iliyo katika hali nzuri kabisa kwa mil.6 , je naweza pata gari aina gani kwa wazoefu wa hizi mambo....
 
Hello wadau wa JF.... km kuna mwenye uzoefu na wauza magari kwa mwanza ningependa tujuzane hapa..... Nahitaji gari used iliyo katika hali nzuri kabisa kwa mil.6 , je naweza pata gari aina gani kwa wazoefu wa hizi mambo....
Mkuu nakushauri uagize used from japan..ukiongeza milioni moja or mbili hapo ukiwatembelea mawakala wa kuagiza magari watakushauri gari gani ya kuagiza kwa iyo pesa
 
Hello wadau wa JF.... km kuna mwenye uzoefu na wauza magari kwa mwanza ningependa tujuzane hapa..... Nahitaji gari used iliyo katika hali nzuri kabisa kwa mil.6 , je naweza pata gari aina gani kwa wazoefu wa hizi mambo....
Njoo PM tupeana namba nikurushie picha nikupe kirikuu ufanyie biashara au kama kwa shughuli zako Mitsubishi, hata ukitaka nakuletea huko Mwanza toka Moro
 
Hello wadau wa JF.... km kuna mwenye uzoefu na wauza magari kwa mwanza ningependa tujuzane hapa..... Nahitaji gari used iliyo katika hali nzuri kabisa kwa mil.6 , je naweza pata gari aina gani kwa wazoefu wa hizi mambo....
Unapata,tulia tu usiwe na haraka.
 
Mkuu nakushauri uagize used from japan..ukiongeza milioni moja or mbili hapo ukiwatembelea mawakala wa kuagiza magari watakushauri gari gani ya kuagiza kwa iyo pesa

Okey shukrani mkuu kwa ushauri wako ngoja niufanyie kazi....
 
Njoo PM tupeana namba nikurushie picha nikupe kirikuu ufanyie biashara au kama kwa shughuli zako Mitsubishi, hata ukitaka nakuletea huko Mwanza toka Moro

Shukran mkuu ila sihitaji aina hiyo.... nahitaj gari ya kutembelea tuuu sio ya biashara.
 
Hautapata gari iliokua kwenye mint condition, unaweza lipia iyo nikakupa gari we ukaacha card,ukalipa iliyobaki taratibu,hata laki kila mwezi,pindi utakavyomaliza ndo utachukua card yako,ikiwa ni pamoja na kufanya transfer
Ipo 6 kamili haizid zaid ya hapo mkuu tunaenda na bajet
 
Kweli mkuu...na wengine wanauza gari ambalo lishaanza kumsumbua na lina matatizo makubwa...so ukinunua gari kama hilo unaanza kuingia gharama kubwa za matengenezo kila siku
Nikweli unakuta cost za matengenezo ni kubwa zaidi,kununua gari mkononi ni kama kucheza kamari
 
Back
Top Bottom