Kwa Mbowe, Zitto Kabwe na Filikunjombe

Nsaji Mpoki

JF-Expert Member
Nov 5, 2007
396
65
Tunawaomba siku hizi mbili kabla bunge halijaahirishwa pitieni mgao wa bajeti za mikoa na halmashauri za wilaya. Mnaweza kutumia mfano wa vitabu vyenu vya mikoa.

Kimsingi kwa mwaka ujao wa fedha serikali haitaweza kabisa kutoa huduma kwa wananchi hata kwa mwezi mmoja. Tumeongeza ukubwa wa serikali kwa kuanzisha miundo isiyo na tija bila kuangalia uwezo wa mapato. Hivi sasa kwa mfano fedha za uendeshaji wa hospitali za rufaa za mikoa zimeshuka toka tshs mil. 420 kwa mwaka hadi kufikia tsh mil 240 kwa mwaka wakati viwango vya posho za madaktari zimepanda kufuatia ahadi ya PM.

Hali hii ni ya hatari. Inaweza kusababisha manung'uniko zaidi. Tafadhali mawaziri wa fedha, utumishi na Tamisemi watakiwe kutoa maelezo jinsi watakavyookoa hali hii. Kwa namna mfumuko wa bei ulivyo kutoa nusu ya bajeti ya mwaka jana yaani kutoka tsh. Bil 2 kwa mkoa hadi kufikia tsh milioni 800 usitegemee usimamizi wa lolote
 
Tunawaomba siku hizi mbili kabla bunge halijaahirishwa pitieni mgao wa bajeti za mikoa na halmashauri za wilaya. Mnaweza kutumia mfano wa vitabu vyenu vya mikoa. Kimsingi kwa mwaka ujao wa fedha serikali haitaweza kabisa kutoa huduma kwa wananchi hata kwa mwezi mmoja. Tumeongeza ukubwa wa serikali kwa kuanzisha miundo isiyo na tija bila kuangalia uwezo wa mapato. Hivi sasa kwa mfano fedha za uendeshaji wa hospitali za rufaa za mikoa zimeshuka toka tshs mil. 420 kwa mwaka hadi kufikia tsh mil 240 kwa mwaka wakati viwango vya posho za madaktari zimepanda kufuatia ahadi ya PM. Hali hii ni ya hatari. Inaweza kusababisha manung'uniko zaidi. Tafadhali mawaziri wa fedha, utumishi na Tamisemi watakiwe kutoa maelezo jinsi watakavyookoa hali hii. Kwa namna mfumuko wa bei ulivyo kutoa nusu ya bajeti ya mwaka jana yaani kutoka tsh. Bil 2 kwa mkoa hadi kufikia tsh milioni 800 usitegemee usimamizi wa lolote

Vitabu hivi ndio vipitiwe kwanza, sijui kama hata CAG huwa ana access........haya ndio yalikuwa makadirio (ya juu) ya ziara ya hivi karibuni Brazil. Tungependa kujua ni kiasi kweli kimetumika manake kunawalioenda hawako kwenye jedwali.

MCHANGANUO WA GHARAMA ZA SAFARI YA RAIS KIKWETE HUKO BRAZIL
NoNAMEDAYSPERDIEM RATEON TRANSITTOTAL PERDIEMOUTFIT ALLOWANCEAIR TICKETTOTAL
(a)(b)(c )(d)(e)(f)(d) + (e) + (f)
1/2 x (b)(a) x (b) + (c )30 % X (d)
US$US$US$US$US$US$
1Afisa Usalama wa Taifa104202104,410.001,323.00590.006,323.00
2Aloyce Masanja104202104,410.001,323.00590.006,323.00
3Anna Nkinda104202104,410.001,323.00590.006,323.00
4Body guard 1104202104,410.001,323.00590.006,323.00
5Body guard 2104202104,410.001,323.00590.006,323.00
6Daktari wa Rais104202104,410.001,323.00590.006,323.00
7Gerson Msigwa104202104,410.001,323.00590.006,323.00
8Jakaya Mrisho Kikwete105202605,460.001,638.00590.007,688.00
9Katibu / Msaidizi wa First Lady104202104,410.001,323.00590.006,323.00
10Katibu / Msaidizi wa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje104202104,410.001,323.00590.006,323.00
11Katibu / Msaidizi wa Rais104202104,410.001,323.00590.006,323.00
12Katibu / Msaidizi wa Waziri wa Zanzibar104202104,410.001,323.00590.006,323.00
13Mpiga Pasi104202104,410.001,323.00590.006,323.00
14Mpiga picha104202104,410.001,323.00590.006,323.00
15Mpishi104202104,410.001,323.00590.006,323.00
16Mulamula104202104,410.001,323.00590.006,323.00
17Mwandishi wa Habari wa Rais104202104,410.001,323.00590.006,323.00
18Mwandishi wa Hotuba wa Rais104202104,410.001,323.00590.006,323.00
19Naibu Waziri Mambo ya Nje104202104,410.001,323.00590.006,323.00
20Protocal Officer104202104,410.001,323.00590.006,323.00
21Salma Kikwete105202605,460.001,638.00590.007,688.00
22Susan Mlawi104202104,410.001,323.00590.006,323.00
23Waziri wa Zanzibar104202104,410.001,323.00590.006,323.00
TOTAL IN US$148,159.00
Exchange rate (TZS/US$)1,700.00
TOTAL IN TZS251,870,300.00
 
Hizi faulo Jamani zinatosha!, Tunasubiri maneno ya waziri mkubwa hiyo jumatatu. utang'atuka?. Au utaomba huruma ya wabunge kama kawaida yako.
 
mbona haya ni matumizi ya kawaida sana kwa kiongozi wa nchi,,afadhali hiyo pesa imeonekana walioitumia ni akina nani na kwa matumizi yapi...mbaya ni ile pesa inayopotyelea kwa hawa wateuliwa wa mkuu wetu.............
 
Tunawaomba siku hizi mbili kabla bunge halijaahirishwa pitieni mgao wa bajeti za mikoa na halmashauri za wilaya. Mnaweza kutumia mfano wa vitabu vyenu vya mikoa. Kimsingi kwa mwaka ujao wa fedha serikali haitaweza kabisa kutoa huduma kwa wananchi hata kwa mwezi mmoja. Tumeongeza ukubwa wa serikali kwa kuanzisha miundo isiyo na tija bila kuangalia uwezo wa mapato. Hivi sasa kwa mfano fedha za uendeshaji wa hospitali za rufaa za mikoa zimeshuka toka tshs mil. 420 kwa mwaka hadi kufikia tsh mil 240 kwa mwaka wakati viwango vya posho za madaktari zimepanda kufuatia ahadi ya PM. Hali hii ni ya hatari. Inaweza kusababisha manung'uniko zaidi. Tafadhali mawaziri wa fedha, utumishi na Tamisemi watakiwe kutoa maelezo jinsi watakavyookoa hali hii. Kwa namna mfumuko wa bei ulivyo kutoa nusu ya bajeti ya mwaka jana yaani kutoka tsh. Bil 2 kwa mkoa hadi kufikia tsh milioni 800 usitegemee usimamizi wa lolote

Hii nchi pasua kichwa haswaaaa!

 
Naomba kuuliza hivi accomodation, meals na expenses zingine walijilipia? Au waligharamiwa kila kitu? Kisha wakapewa pesa juu?
 
Back
Top Bottom