Licha ya Zanzibar kujikwamua kilemu. Lkn inaonekana kuna kikwazo kikubwa huko mbele
Matokeo ya kidato 4 na kidato cha 6 ni wazi ni moja ya kikwazo kikubwa cha elimu Zanzibar
Kwanini Baraza la mitihani la Zanzibar likitunga mitihani, asilimia 80 ya wanafunzi hufanya vizuri?
Kwanini Wazanzibar wakiwa nje ya Muungano, matokeo na maendeleo ya Elimu kwa mtu mmoja hupanda?
kwanini wanafunzi wa NACTE hufanya vizuri?
matokeo ya mwaka huu ni wazi kwa Znz yanaweza kuleta majdala mkubwa
1)Shule ya Lumumba ilikuwa ni moja ya Moyo wa Elimu Zanzibar. NECTA Wamepeleka maafa. wajanja wanasema. ukitaka kumpiga adui mpige kwenye moyo.
2)Shule ya Benbela yeny vipaji maalum nako NECTA wamepiga kofi kubwa
3)Shule ya Biashara ambayo ni moja ya nguzo ya Elimu Zanzibar NECTA inayo imeiamliza kisaokolojia
F4 zanzibar walipigwa W eti wamekopia
F6 baada ya malalamiko ya F4, wameona wapeleke F badala ya Kuwafutia