sidhani kama mngekua wasomi mkaongozwa na LUCY INDE pmj na mama wa EA.Wazenji vilaza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sidhani kama mngekua wasomi mkaongozwa na LUCY INDE pmj na mama wa EA.Wazenji vilaza.
mlionesha nia mbaya mwanzoni kiasi kwamba ata mkifanya wema inabidi tujiulize, hata ivo kwako wewe mwenye haki ya kulalama ni cdm tuUmeeleweka ila na nyie mmezidi kulalamika aisee
Waambie wale ufuta kwa wingi unasaidia ku-activate ubongo!!
Sisi hapa Mara na kanda ya ziwa tunakula minuso inayoweka vichwa na akili zetu active hata mtu akifa anaenda mbinguni/kuzimu na akili za kutosha!!
Vilevile wakumbushe umuhimu wa elimu kwani mafunzo ya dini zetu yasipite umuhimu wa elimu, maandiko yanasema 'mkamate sana elimu usimwache aende zake!!
Vyakula kama urojo si vizuri kwa maendeleo ya mtoto darasani!!
Kwa hiyo unashauri Zanzibar ijitungie mitihani yao ili wanafunzi wafanye vizuri?
Pamoja na ku-edit kote huko bado hujaeleweka.Licha ya Zanzibar kujikwamua kilemu. Lkn inaonekana kuna kikwazo kikubwa huko mbele
Matokeo ya kidato 4 na kidato cha 6 ni wazi ni moja ya kikwazo kikubwa cha elimu Zanzibar
Kwanini Baraza la mitihani la Zanzibar likitunga mitihani, asilimia 80 ya wanafunzi hufanya vizuri?
Kwanini Wazanzibar wakiwa nje ya Muungano, matokeo na maendeleo ya Elimu kwa mtu mmoja hupanda?
kwanini wanafunzi wa NACTE hufanya vizuri?
matokeo ya mwaka huu ni wazi kwa Znz yanaweza kuleta majdala mkubwa
1)Shule ya Lumumba ilikuwa ni moja ya Moyo wa Elimu Zanzibar. NECTA Wamepeleka maafa. wajanja wanasema. ukitaka kumpiga adui mpige kwenye moyo.
2)Shule ya Benbela yeny vipaji maalum nako NECTA wamepiga kofi kubwa
3)Shule ya Biashara ambayo ni moja ya nguzo ya Elimu Zanzibar NECTA inayo imeiamliza kisaokolojia
F4 zanzibar walipigwa W eti wamekopia
F6 baada ya malalamiko ya F4, wameona wapeleke F badala ya Kuwafutia