Bei ya korosho haiko regulated by "forces of demand and supply"?,
huwa serikali inaingilia kupanga bei?
Ukiwa unajibu hayo maswali, basi pia jaribu kuweka kwa undani zaidi, mambo gani unategemea kuyafanya kwa hiyo research au What information/knowledge will be likely generated by that research work". Ukiweka wazi haya yote, utapewa title nzuri. In fact unaweza ukajitengenezea title yako wewe mwenyewe.
Dah
yaaaani unatoka mkwala kwa eti masters holders only
alafu unauliza tiitle tena ya proposal ikaeje.
Ukikamliza kuuliza tiitle ya proposal si utauliza na introduction na scope na objective zikaeje ????
Mkubwa uliruka kutoka forma 4 na kwenda master moja kwa moja.??
Nimechoka kabisa .
Halafu tunakesha kuwalaumu wanasiasa na kumbe na wa ni hivi hivi. ana submit project hata tiitle sio wazo lake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.