Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,660
- 35,021
Kuna mdau alihoji kwanini Marekani haiwasaidii waasi wa Idlib ndio nilijibu japo sikumnukuu.Naona umechanganya,tunaongelea north east Syria siyo idlib,marekani alikuwa huku kwa wakurdi wanaita Rojava,,,mji mkuu Ni manbij