Mzee Ashanti
Member
- Jan 3, 2020
- 60
- 52
Naona unajaribu kuhamisha mada,mada iliyopo hapa ni kuwa Urusi kaufyata kwa Marekani. Hilo la Ubalozi wa Marekani anzisha Uzi wake tuje kuchangia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app