Kwa mara nyingine tena Masele amedhihirisha udhaifu wa Spika

Mimi naona pia Masele anamadhaifu vile vile kumbuka ndugai hawezi kua mdhaifu kila siku ambacho sijaelewa ugonvi hasa nini?kwa maelezo ya spika Masele anataka apatiwe hadhi kama rais wa binge la Africa moja mabodigad ,nyumba kitu ambacho ndugai anadai mamlaka hayo hana.
 
Katika vitu ambavyo Tanzania imekosa toka 2015 ni viongozi wa mihimili miwili ,hakuna kabisa ni milembe type .
 
hapo kuna jambo sirini hivi hakuna ga utaratibu wa hansad ya mahojiano kuwekwa hazarani ili wabunge wote waone maana ripoti ya mwenyekiti wa mahojiano kaikataa maanayake yaliyohojiwa na aliyoyajibu siyo hayo
CAG pia alitaka hansard ya mahojiano kati yake na kamati kuwekwa hadharani ili wabunge waone alichoulizwa na alivyojibu. Hii kamati inaonekana inadanganya, haiwezekani CAG adai mahojiano yawekwe hadharani na Masele naye adai hivyo hivyo kama hakuna mambo yanayofichwa na ambayo kamati haitaki wabunge na watu wote wajue.
Inavyoonekana hukumu ya CAG na Stephano ilishatolewa hata kabla ya kamati kukaa na kuwahoji. Mengine ni maigizo tu.
 
Masele Akili nyingi sana...................

Na kashajua Spika akili ndogo............

Akakuza mgogoro kijanja, akatapanya vita.........................

Na kwenye hii issue amejijenga kisiasa.............

Kiboko ya Ndugai Kapatikana...........
 

Ugomvi wa wanaCCM huwa inaishia kusiko eleweka, Malima vs Marehemu Mengi, Masele Vs Spika nk wanasameheana ila angekuwa mbunge wa upinzani angepigwa burn vikao vyote vilivyosalia vya bunge la 9
 
...kama hayo mnaona ni MAKOSA basi naomba radhi....by Masele.
 
Masele Akili nyingi sana...................

Na kashajua Spika akili ndogo............

Akakuza mgogoro kijanja, akatapanya vita.........................

Na kwenye hii issue amejijenga kisiasa.............

Kiboko ya Ndugai Kapatikana...........
angekuwa na akili asingekuwa CCM...
 
Kamati ya hovyo kabisa ile ipo kwa ajili ya kumlinda ndugai na madhaifu yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…