King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,685
- 68,671
Wachukue wanachochukua wasije mdhuru mtu.
Polen sana jaman wasiwatoe roho watu
"poleni sna wenze2" ndio kauli.
We nguruwe ****** wenzanko wamepata matatitizo wewe unaleta siasa uchwara kama ufukara ni wako na uzembe wako acha chuki binfsi.
Dereva mmoja wamemdhuru kwa risasi ya mguu kashawaishwa hospital.
Asubuhi yote hii? Wamelala njaa?
kwakua amekamatwa 1 basi kazi Rahisi hiyo wataskwa ote namwami Canda Kova subili kwenye TV mjibu utayapata
Doh! Mungu amjalie asiwe amedhurika kiasi cha kuhatarisha maisha yake, vp polisi hawajaja na vitu vyenye ncha kali kupambana na hao majambazi?
hivi hawa watu wanaotoa vyombo vyao vya usafiri kutumika kwenye uhalifu huwa wanalipwa thamani ya hicho chombo iwapo kitakamatwa?Jamaa(Majambazi) walikuwa wa4 walitaka kupora fedha kwenye begi ambazo ni zaidi ya mil50 lkn wameshindwa kuzichukua lakini wamempiga risasi ya mguu dereva wa daradara,jambazi m1 amekamatwa(age yake haizidi 25) wameacha pikipiki moja(boxer) kina ras makunja na farasi mweupe washafika ndio wanachukua maelezo!
hii kali tena kumbe Nguruwe bado yupo? mm nilidhani keshaStaafWe nguruwe ****** wenzanko wamepata matatitizo wewe unaleta siasa uchwara kama ufukara ni wako na uzembe wako acha chuki binfsi.