kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,205
- 18,475
Hao watatu wanaonyesha kabisa state of emergency
1. Yuko casual ila kama anamshangaa jamaa jinsi alivyojiandaa
2. Ni Kamanda Sirro inaelekea hapo alipokuwa alikuja haraka kama alivyo
3. Askari wa uniform amesahau kufunga hata mkanda..hii ni dharura kwahiyo akili yote iko kwenye tukio
Halafu Kituko kiko kwa Lameck! Yuko very well dressed? Truly this looks weird
Hii imefeli kabisa....!!!