Kwa mahitaji ya simu

Kwa mahitaji ya simu

Emory Andrew Tate

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2013
Posts
492
Reaction score
630
Habar wananchi
kupanua wigo wa biashara sasa unaweza ukaweka order ya simu aina yoyote kisha ukaletewa mzigo wako ndani ya siku nne.tuna ofisi mtaa wa aggrey dar es salaam.malipo unafanyia ofisini tu na sio vinginevyo
 
Inamaana ukopeshwe mtaji cio????????

Hapana mkuu yawezekana hujanielewa kidogo. Mtaji ninao na ndio maana ninauwezo wa kununua mzigo nitakao pewa order kabla hela yako haija fika mkononi kwangu. Ishu ni kuwa utalipia bongo kwanza, then siku 2-3 ndio unapata mzigo wako, hii inatokana na kuwa hzo siku mbili ni 3 ni zakusafiri mzigo. Na malipo kabla ya bidhaa hiyo ni defense kwangu kutoka kwa usumbufu wa kuleta mzigo afu mtu asiulipie.
Uaminifu ndio kipaumbele
 
ntakuamini vp ckujui?!

Mkuu salaam kwako.
Uaminifu kwa mtu ambaye ndiyo mara ya kwanza mnakutana ama mnahusiana kwa mara ya kwanza katika nyanja yoyote ile huanzia kwako kujenga imani kwake. Kadri mnavyohusiana ndipo iman uliyo ijenga kwake can be proved or disapproved according to his/her acts. Mtu usipokuwa mwaminifu kwenye ofisi yako mwenyewe lazima uwe na matatizo kidogo. Mkuu naomba imani yako kwangu.
Uaminifu ndio kipaumbele
 
hela hauwezi kupewa kwa mtindo huo wa biashara unaotaka kuufanya,tafuta mtu huku bongo muamini then mfanye kazi,yeye atakuja na mzigo mtu unauona unafanya malipo,sio ulipwe kitu hakijaonekana,au unadhani ni wapumbavu walioleta msemo wa kuuziwa mbuzi kwenye gunia,be serious man,you can do business but not in the way you want to use,game hii ya maisha ni ngumu sana mkuu...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
hela hauwezi kupewa kwa mtindo huo wa biashara unaotaka kuufanya,tafuta mtu huku bongo muamini then mfanye kazi,yeye atakuja na mzigo mtu unauona unafanya malipo,sio ulipwe kitu hakijaonekana,au unadhani ni wapumbavu walioleta msemo wa kuuziwa mbuzi kwenye gunia,be serious man,you can do business but not in the way you want to use,game hii ya maisha ni ngumu sana mkuu...


Sent from my iPhone using JamiiForums

Mkuu nimekuelewa. Ninaofisi dar ya masuala haya. Nmeona nfanye hivi kutokana na kuwa mtu anaweza akahitaji mzigo, then at the current time mzigo usiwepo ofisn. Kama unasubira siku tatu zihesabu. Lakini najua ni mawazo ya kwako na kila mtu ana yake. Nashukuru
 
hela hauwezi kupewa kwa mtindo huo wa biashara unaotaka kuufanya,tafuta mtu huku bongo muamini then mfanye kazi,yeye atakuja na mzigo mtu unauona unafanya malipo,sio ulipwe kitu hakijaonekana,au unadhani ni wapumbavu walioleta msemo wa kuuziwa mbuzi kwenye gunia,be serious man,you can do business but not in the way you want to use,game hii ya maisha ni ngumu sana mkuu...


Sent from my iPhone using JamiiForums

Kiongozi sio kuwa ndio ninaanza leo, npo ktambo kwa hii game, but sikuwa nmeleta info upande huu. As long as nmeona naweza nkapata people interested ndo maana nkaleta huu uzi
Uaminifu ndio kipaumbele
 
hela hauwezi kupewa kwa mtindo huo wa biashara unaotaka kuufanya,tafuta mtu huku bongo muamini then mfanye kazi,yeye atakuja na mzigo mtu unauona unafanya malipo,sio ulipwe kitu hakijaonekana,au unadhani ni wapumbavu walioleta msemo wa kuuziwa mbuzi kwenye gunia,be serious man,you can do business but not in the way you want to use,game hii ya maisha ni ngumu sana mkuu...


Sent from my iPhone using JamiiForums

Asipokuelewa, ntakusaidia kumshangaa.
 
PM ndo wapi eti mi sielewi hii biashara
 
Biashara nzuri na ya kweli ni ile inayofanyika kwa uwazi na kila mmoja aijue, hizi biashara za pm huwa siziamini sana any naomba kujua bei ya samsung galaxy s3&s4
 
Back
Top Bottom