Kwa mahesabu ya kawaida Vijana zaidi ya 2,000 wa kitanzania wanaweza kuajiriwa Serikalini endapo sheria ya utilities kwa viongozi itarekebishwa

Jana nilikuwa napitia taarifa ya ujenzi wa hospital za wilaya mbili huko mkoani singida ( mkalama na singida DC) zilizogharimu sh billion 1.5 kila moja .

Kupitia uchambuzi hapo juu nikagundua kumbe Serikali inaweza kufanya miradi mingi sana yenye maslahi kwa taifa zima kama vile ujenzi wa shule, ujenzi wa hospital kila wilaya, usambazaji maji vijijini na mambo mengine mengi.

Na hii itafanikiwa endapo kama wakuu wa viongozi na wakuu wa idara na kurugenzi mbali mbali watapunguziwa allowance zao na kubaki sh 120,000 kila mmoja kwa mwezi ( umeme + mawasiliano) .

Mfano tu hapo kwenye thread imeonekana kwa mwezi wakipunguziwa zitabaki kama bill 1.45 ambazo ndizo zitatumiwa na Serikali kujenga miundombinu. Na hii bil 1.45 ni kwa ngazi za mikoa na Wilaya hapo bado Wizara.

Kwa hiyo nchi nyingi za kiafrika zinaponzwa kwa kujijari kwa viongozi tu , uchoyo, kujiona wao ndio muhimu sanaaa, ufisadi bila hata kujali walala hoi,
 
Conspicuous spending
Ambapo kwa mwezi hulipwa sh 230,000 kwa ajili ya bill ya umeme na sh 260,000 ni kwa ajili ya mawasiliano,jumla kuu kwa mwezi ni sh 490,000 kumbuka hii ni nje ya mshahara.


Conspicuous spending
 
Mtoa mada uko sahihi.

Wakipunguza hizo posho, pia wapunguze na posho za wabunge....

Posho ya umeme Tsh. 230,000/- huu ni ufisadi....
 
Tarehe 5/10/2019 waziri mkuu kassim majaliwa alitembelea halmashauri ya wilaya ya mkalama ya huko mkoani singida.

Katika ziara yake alipata fursa ya kuongea na watumishi wa halmashauri hiyo.

Moja ya issue iliyojitokeza ni kuhusiana na suala la utilities za mkurugenzi wa halmashauri hiyo enj. Godfrey mwambe ambaye hulipwa utilities Kila mwezi kwa mujibu ya sheria zilizopo za kiutumishi.

Ambapo kwa mwezi hulipwa sh 230,000 kwa ajili ya bill ya umeme na sh 260,000 ni kwa ajili ya mawasiliano,jumla kuu kwa mwezi ni sh 490,000 kumbuka hii ni nje ya mshahara.

Huyo ni mkurugenzi mmoja tu, je kwa halmashauri 186 ni kiasi gani cha fedha kitatumika kuwalipa hawa wakurugenzi?.

Je kwa ofisi za wakuu wa mikoa ni wakuu wa idara wangapi hulipwa 490,000 kila mwezi?

Je kwa ofisi za ma DAS nchi nzima ,ma DAS wangapi hulipwa 490,000 kila mwezi?

Je kwenye mawizara, ni wakurugenzi wangapi hulipwa 490,000 kila mwezi?

Je kwenye taasisi na wakara wa Serikali , ni viongozi wangapi hulipwa 490,000 kila mwezi?.

Tuchukulie mfano tu kwenye ngazi za mikoa, wilaya na halmashauri ni kiasi gani cha fedha hutumika kuwalipa viongozi hizo stahiki ( estimate).

Ofisi za wakuu wa mikoa

Assume ofisi ina wakuu wa idara 8 na viongozi top 2 ( RC na RAS), jumla 10 viongozi.

10 viongozi wenye utilities*490,000 utilities*26 idadi ya mikoa=sh 127,400,000 utilities kwa mwezi

Kwa ngazi za wilaya ( madas)

Assume kila wilaya ina watani wa madas 6.

Assume kuna wilaya 176 nchi nzima

6*176*490,000=517,440,000 utilities kwa mwezi

Ngazi za halmashauri .

Assume kuna viongozi 14 wanaolipwa utilities.

Assume pia kuna halmashauri 186 nchi nzima.

14*186*490,000=1,275,960,000 utilities kwa mwezi.

Jumla kuu=1,920,800,000 .

Hoja yangu, hivi ni kwanini serikali isibadirishe sheria ili hawa viongozi walipwe sh 60,000 kwa ajili ya umeme na 60,000 kwa ajili ya mawasiliano na sh 370,000 zitakazo baki zikatumika kuajiri vijana walioko mtaani .


Kwa hesabu ifuatayo:

Sh 120,000 utilities per month* 3920 idadi ya viongozi ngazi tajawa( estimate)=470,400,000 hizi ndizo zitumike kwa ajili ya utilities.

Sh 370,000*3920 =Sh 1,450,400,000 hizi ndizo zitumike kuwajiri vijana.

Vijana wangapi wataajiriwa kwa sh 1,450,400,000 .

Sh 1,450,400,000/725,000 mshahara wa afisa wa kawaida kwa mwezi

=Vijana 2000 ndio watakao ajiriwa iwapo Serikali itaamua kubadili sheria na kuwapunguzia utilities viongozi wa ngazi ya mkoa, wilaya na halmashauri.

Ushauri:

Ushauri wangu kwa Serikali yetu ya awamu ya tano inayoonhozwa na Rais wetu mpendwa Dr jpm .

1. Sheria ya stahiki kwa viongozi wa Serikali ipitiwe upya ili kuwapunguzia utilities zao kwa mwezi badala ya kuwalipa 490,000 kwa mwezi inatakiwa iwalipe 120,000 kwa mwezi. Kumlipa mtu mmoja sh 490,000 kwa mwezi nje ya mshahara ni kufuru kabisa . Je watumishi wa kada za chini wanaolipwa sh 400000 kwa mwezi wao waishije ? Wao ndio hawatakiwi kutumia umeme?, wao ndio hawastahili kufanya mawasiliano?

2. Serikali kupitia Wizara ya menejimenti ya utumishi wa umma ifanye hesabu ili kujua ni kiasi gani cha fedha zikipunguzwa zitatumika kuwaajiri vijana wetu wanaoranda randa na mabahasha mitaani kutafuta ajira. ( hesabu ifanyike kwa viongozi wote wa serikali na taasisi zake).

3. Serikali ifanye uchunguzi wa kina kubaini viongozi wahujumu uchumi wanaojilipa fedha bila utaratibu na kuwafungulia mashitaka ya uhujumu uchumi kwa maana haiwezekani kiongozi, Serikali inakulipa sh 600,000 kwa ajili ya nyumba, sh 490,000 kwa ajili ya utilities lakini bado unaiibia.

4. Serikali fanyeni uhakiki wa perdiem zote zilizokwisha lipwa kwa viongozi wa Serikali, kwani kwa kufanya hivyo mnaweza kugundua kuna baadhi ya viongozi walilipwa fedha za kwenda kufanya shughuli za supervision kwenye ngazi za mikoa/ wilaya lakini hawakwenda badala yake wanaacha maafisa waende wenyewe wanabaki maofisini huku wakisubiri taarifa na wao wajiandike kama walishiriki kumbe hakuna.

5. Wizara ya utumishi mnapaswa kufanya utafiti wa kujustify matumizi ya hizi utilities kama zinaendana na hali halisi ya sasa ya bei ya huduma hizo .kwa kuzingatia hivi sasa bei ya umeme iko chini sana ambapo kila mtanzania anajimudu kununua unit za umeme .

Sasa utabaki unajiuliza hivi hyo 230,000 wakuu hawa wana viwanda vya kukamua alizetu huko majumbani??? Au wana taasisi gani huko?

Yaani bill ya umeme ya mkuu wa idara iko sawa na taasisi au baadhi ya ofisi za wakuu wa mikoa .

Sheria ipitiwe ipya kwa kuanza na utafiti kwanza


Naomba ushauri huu ufanyiwe kazi kwani vijana wengi tuko mtaani tukitaabika.

Viva jpm ,piga kazi baba yetu. Sisi watanzania wazalendo tuko nawe pamoja katika kuhakikisha rasilimali zinatumika kwa mujibu wa utaratibu uliowekwa.

Jibu la msingi wanaloona ni sahihi kwa vijaana ni kujiajiri wakt wao wamekalia kodi zetu wanaimba tujiajiri
 
Umenena safi ila atatizo lilopo linaanzia kwenye uongozi wa juu kabisa tena wao huchukua zaidi ya hizo kwahiyo hawataweza kuwabana hao....mwisho kama pesa ipo kama wanavyojinasibu basi serikali itoe uwanja sawa wa hizo allowance kwa watumishi wote
Tarehe 5/10/2019 waziri mkuu kassim majaliwa alitembelea halmashauri ya wilaya ya mkalama ya huko mkoani singida.

Katika ziara yake alipata fursa ya kuongea na watumishi wa halmashauri hiyo.

Moja ya issue iliyojitokeza ni kuhusiana na suala la utilities za mkurugenzi wa halmashauri hiyo enj. Godfrey mwambe ambaye hulipwa utilities Kila mwezi kwa mujibu ya sheria zilizopo za kiutumishi.

Ambapo kwa mwezi hulipwa sh 230,000 kwa ajili ya bill ya umeme na sh 260,000 ni kwa ajili ya mawasiliano,jumla kuu kwa mwezi ni sh 490,000 kumbuka hii ni nje ya mshahara.

Huyo ni mkurugenzi mmoja tu, je kwa halmashauri 186 ni kiasi gani cha fedha kitatumika kuwalipa hawa wakurugenzi?.

Je kwa ofisi za wakuu wa mikoa ni wakuu wa idara wangapi hulipwa 490,000 kila mwezi?

Je kwa ofisi za ma DAS nchi nzima ,ma DAS wangapi hulipwa 490,000 kila mwezi?

Je kwenye mawizara, ni wakurugenzi wangapi hulipwa 490,000 kila mwezi?

Je kwenye taasisi na wakara wa Serikali , ni viongozi wangapi hulipwa 490,000 kila mwezi?.

Tuchukulie mfano tu kwenye ngazi za mikoa, wilaya na halmashauri ni kiasi gani cha fedha hutumika kuwalipa viongozi hizo stahiki ( estimate).

Ofisi za wakuu wa mikoa

Assume ofisi ina wakuu wa idara 8 na viongozi top 2 ( RC na RAS), jumla 10 viongozi.

10 viongozi wenye utilities*490,000 utilities*26 idadi ya mikoa=sh 127,400,000 utilities kwa mwezi

Kwa ngazi za wilaya ( madas)

Assume kila wilaya ina watani wa madas 6.

Assume kuna wilaya 176 nchi nzima

6*176*490,000=517,440,000 utilities kwa mwezi

Ngazi za halmashauri .

Assume kuna viongozi 14 wanaolipwa utilities.

Assume pia kuna halmashauri 186 nchi nzima.

14*186*490,000=1,275,960,000 utilities kwa mwezi.

Jumla kuu=1,920,800,000 .

Hoja yangu, hivi ni kwanini serikali isibadirishe sheria ili hawa viongozi walipwe sh 60,000 kwa ajili ya umeme na 60,000 kwa ajili ya mawasiliano na sh 370,000 zitakazo baki zikatumika kuajiri vijana walioko mtaani .


Kwa hesabu ifuatayo:

Sh 120,000 utilities per month* 3920 idadi ya viongozi ngazi tajawa( estimate)=470,400,000 hizi ndizo zitumike kwa ajili ya utilities.

Sh 370,000*3920 =Sh 1,450,400,000 hizi ndizo zitumike kuwajiri vijana.

Vijana wangapi wataajiriwa kwa sh 1,450,400,000 .

Sh 1,450,400,000/725,000 mshahara wa afisa wa kawaida kwa mwezi

=Vijana 2000 ndio watakao ajiriwa iwapo Serikali itaamua kubadili sheria na kuwapunguzia utilities viongozi wa ngazi ya mkoa, wilaya na halmashauri.

Ushauri:

Ushauri wangu kwa Serikali yetu ya awamu ya tano inayoonhozwa na Rais wetu mpendwa Dr jpm .

1. Sheria ya stahiki kwa viongozi wa Serikali ipitiwe upya ili kuwapunguzia utilities zao kwa mwezi badala ya kuwalipa 490,000 kwa mwezi inatakiwa iwalipe 120,000 kwa mwezi. Kumlipa mtu mmoja sh 490,000 kwa mwezi nje ya mshahara ni kufuru kabisa . Je watumishi wa kada za chini wanaolipwa sh 400000 kwa mwezi wao waishije ? Wao ndio hawatakiwi kutumia umeme?, wao ndio hawastahili kufanya mawasiliano?

2. Serikali kupitia Wizara ya menejimenti ya utumishi wa umma ifanye hesabu ili kujua ni kiasi gani cha fedha zikipunguzwa zitatumika kuwaajiri vijana wetu wanaoranda randa na mabahasha mitaani kutafuta ajira. ( hesabu ifanyike kwa viongozi wote wa serikali na taasisi zake).

3. Serikali ifanye uchunguzi wa kina kubaini viongozi wahujumu uchumi wanaojilipa fedha bila utaratibu na kuwafungulia mashitaka ya uhujumu uchumi kwa maana haiwezekani kiongozi, Serikali inakulipa sh 600,000 kwa ajili ya nyumba, sh 490,000 kwa ajili ya utilities lakini bado unaiibia.

4. Serikali fanyeni uhakiki wa perdiem zote zilizokwisha lipwa kwa viongozi wa Serikali, kwani kwa kufanya hivyo mnaweza kugundua kuna baadhi ya viongozi walilipwa fedha za kwenda kufanya shughuli za supervision kwenye ngazi za mikoa/ wilaya lakini hawakwenda badala yake wanaacha maafisa waende wenyewe wanabaki maofisini huku wakisubiri taarifa na wao wajiandike kama walishiriki kumbe hakuna.

5. Wizara ya utumishi mnapaswa kufanya utafiti wa kujustify matumizi ya hizi utilities kama zinaendana na hali halisi ya sasa ya bei ya huduma hizo .kwa kuzingatia hivi sasa bei ya umeme iko chini sana ambapo kila mtanzania anajimudu kununua unit za umeme .

Sasa utabaki unajiuliza hivi hyo 230,000 wakuu hawa wana viwanda vya kukamua alizetu huko majumbani??? Au wana taasisi gani huko?

Yaani bill ya umeme ya mkuu wa idara iko sawa na taasisi au baadhi ya ofisi za wakuu wa mikoa .

Sheria ipitiwe ipya kwa kuanza na utafiti kwanza


Naomba ushauri huu ufanyiwe kazi kwani vijana wengi tuko mtaani tukitaabika.

Viva jpm ,piga kazi baba yetu. Sisi watanzania wazalendo tuko nawe pamoja katika kuhakikisha rasilimali zinatumika kwa mujibu wa utaratibu uliowekwa.
 
Tarehe 5/10/2019 waziri mkuu kassim majaliwa alitembelea halmashauri ya wilaya ya mkalama ya huko mkoani singida.

Katika ziara yake alipata fursa ya kuongea na watumishi wa halmashauri hiyo.

Moja ya issue iliyojitokeza ni kuhusiana na suala la utilities za mkurugenzi wa halmashauri hiyo enj. Godfrey mwambe ambaye hulipwa utilities Kila mwezi kwa mujibu ya sheria zilizopo za kiutumishi.

Ambapo kwa mwezi hulipwa sh 230,000 kwa ajili ya bill ya umeme na sh 260,000 ni kwa ajili ya mawasiliano,jumla kuu kwa mwezi ni sh 490,000 kumbuka hii ni nje ya mshahara.

Huyo ni mkurugenzi mmoja tu, je kwa halmashauri 186 ni kiasi gani cha fedha kitatumika kuwalipa hawa wakurugenzi?.

Je kwa ofisi za wakuu wa mikoa ni wakuu wa idara wangapi hulipwa 490,000 kila mwezi?

Je kwa ofisi za ma DAS nchi nzima ,ma DAS wangapi hulipwa 490,000 kila mwezi?

Je kwenye mawizara, ni wakurugenzi wangapi hulipwa 490,000 kila mwezi?

Je kwenye taasisi na wakara wa Serikali , ni viongozi wangapi hulipwa 490,000 kila mwezi?.

Tuchukulie mfano tu kwenye ngazi za mikoa, wilaya na halmashauri ni kiasi gani cha fedha hutumika kuwalipa viongozi hizo stahiki ( estimate).

Ofisi za wakuu wa mikoa

Assume ofisi ina wakuu wa idara 8 na viongozi top 2 ( RC na RAS), jumla 10 viongozi.

10 viongozi wenye utilities*490,000 utilities*26 idadi ya mikoa=sh 127,400,000 utilities kwa mwezi

Kwa ngazi za wilaya ( madas)

Assume kila wilaya ina watani wa madas 6.

Assume kuna wilaya 176 nchi nzima

6*176*490,000=517,440,000 utilities kwa mwezi

Ngazi za halmashauri .

Assume kuna viongozi 14 wanaolipwa utilities.

Assume pia kuna halmashauri 186 nchi nzima.

14*186*490,000=1,275,960,000 utilities kwa mwezi.

Jumla kuu=1,920,800,000 .

Hoja yangu, hivi ni kwanini serikali isibadirishe sheria ili hawa viongozi walipwe sh 60,000 kwa ajili ya umeme na 60,000 kwa ajili ya mawasiliano na sh 370,000 zitakazo baki zikatumika kuajiri vijana walioko mtaani .


Kwa hesabu ifuatayo:

Sh 120,000 utilities per month* 3920 idadi ya viongozi ngazi tajawa( estimate)=470,400,000 hizi ndizo zitumike kwa ajili ya utilities.

Sh 370,000*3920 =Sh 1,450,400,000 hizi ndizo zitumike kuwajiri vijana.

Vijana wangapi wataajiriwa kwa sh 1,450,400,000 .

Sh 1,450,400,000/725,000 mshahara wa afisa wa kawaida kwa mwezi

=Vijana 2000 ndio watakao ajiriwa iwapo Serikali itaamua kubadili sheria na kuwapunguzia utilities viongozi wa ngazi ya mkoa, wilaya na halmashauri.

Ushauri:

Ushauri wangu kwa Serikali yetu ya awamu ya tano inayoonhozwa na Rais wetu mpendwa Dr jpm .

1. Sheria ya stahiki kwa viongozi wa Serikali ipitiwe upya ili kuwapunguzia utilities zao kwa mwezi badala ya kuwalipa 490,000 kwa mwezi inatakiwa iwalipe 120,000 kwa mwezi. Kumlipa mtu mmoja sh 490,000 kwa mwezi nje ya mshahara ni kufuru kabisa . Je watumishi wa kada za chini wanaolipwa sh 400000 kwa mwezi wao waishije ? Wao ndio hawatakiwi kutumia umeme?, wao ndio hawastahili kufanya mawasiliano?

2. Serikali kupitia Wizara ya menejimenti ya utumishi wa umma ifanye hesabu ili kujua ni kiasi gani cha fedha zikipunguzwa zitatumika kuwaajiri vijana wetu wanaoranda randa na mabahasha mitaani kutafuta ajira. ( hesabu ifanyike kwa viongozi wote wa serikali na taasisi zake).

3. Serikali ifanye uchunguzi wa kina kubaini viongozi wahujumu uchumi wanaojilipa fedha bila utaratibu na kuwafungulia mashitaka ya uhujumu uchumi kwa maana haiwezekani kiongozi, Serikali inakulipa sh 600,000 kwa ajili ya nyumba, sh 490,000 kwa ajili ya utilities lakini bado unaiibia.

4. Serikali fanyeni uhakiki wa perdiem zote zilizokwisha lipwa kwa viongozi wa Serikali, kwani kwa kufanya hivyo mnaweza kugundua kuna baadhi ya viongozi walilipwa fedha za kwenda kufanya shughuli za supervision kwenye ngazi za mikoa/ wilaya lakini hawakwenda badala yake wanaacha maafisa waende wenyewe wanabaki maofisini huku wakisubiri taarifa na wao wajiandike kama walishiriki kumbe hakuna.

5. Wizara ya utumishi mnapaswa kufanya utafiti wa kujustify matumizi ya hizi utilities kama zinaendana na hali halisi ya sasa ya bei ya huduma hizo .kwa kuzingatia hivi sasa bei ya umeme iko chini sana ambapo kila mtanzania anajimudu kununua unit za umeme .

Sasa utabaki unajiuliza hivi hyo 230,000 wakuu hawa wana viwanda vya kukamua alizetu huko majumbani??? Au wana taasisi gani huko?

Yaani bill ya umeme ya mkuu wa idara iko sawa na taasisi au baadhi ya ofisi za wakuu wa mikoa .

Sheria ipitiwe ipya kwa kuanza na utafiti kwanza


Naomba ushauri huu ufanyiwe kazi kwani vijana wengi tuko mtaani tukitaabika.

Viva jpm ,piga kazi baba yetu. Sisi watanzania wazalendo tuko nawe pamoja katika kuhakikisha rasilimali zinatumika kwa mujibu wa utaratibu uliowekwa.

Hoja ya maana sana hii, JF twatakiwa kufikiri hivi.

Nimebahatika kuishi America, Ulaya Magharibi na Asia. Kiukweli sijawahi ona serikali ikiwa na magari lukiki au benefits kibao kwa watawala. Ukienda city municipal unakuta viongozi wanaendesha magari yao wenyewe, vyuoni ndio usiseme wakuu wa idara kwa madai yao hawalipwi bali wanajitolea ingawa nilimhoji mmoja wa wakuu wa idara na kudai halipwi.

Sasa sijui kwa nini mabeberu wanahimiza spending kubwa kwenye public sectors.

Tanzania tuna TASAF kwa hisani ya EU, sijawahi ona auditing report ya pesa za TASAF, but kwa jinsi TASAF inavyoendeshwa huenda 40% ya pesa inatumika kwa ajili ya uendeshaji
 
Umenena safi ila atatizo lilopo linaanzia kwenye uongozi wa juu kabisa tena wao huchukua zaidi ya hizo kwahiyo hawataweza kuwabana hao....mwisho kama pesa ipo kama wanavyojinasibu basi serikali itoe uwanja sawa wa hizo allowance kwa watumishi wote
Kwa watumishi wengine wanadai allowances zilishaingizwa kwenye mishahara yao, imagine kwa mtu anayelipwa kima cha chini shilingi laki 3, inaingia akilini kusema kuwa kwenye hiyo laki 3 kuna allowance ya nyumba, maji, umeme, simu na usafiri. Kwa hiyo utaona hizo allowance zinalipwa kwa upendeleo kuwalenga wale wenye vyeo vya kuteuliwa na wakuu wa idara, after all wao ndo wamekalia mafungu ni rahisi tu kujipitishia. Kwa hiyo wazo langu hata kama hizo posho zitaongezwa au kupunguzwa, ziwalenge pia watumishi wengine maana nao wanalipa hizo bill kama hao vigogo, tena unaweza kukuta hao vigogo tayari wamepewa nyumba, magari na madereva yanayogharamiwa na serikali.
 
Kwa watumishi wengine wanadai allowances zilishaingizwa kwenye mishahara yao, imagine kwa mtu anayelipwa kima cha chini shilingi laki 3, inaingia akilini kusema kuwa kwenye hiyo laki 3 kuna allowance ya nyumba, maji, umeme, simu na usafiri. Kwa hiyo utaona hizo allowance zinalipwa kwa upendeleo kuwalenga wale wenye vyeo vya kuteuliwa na wakuu wa idara, after all wao ndo wamekalia mafungu ni rahisi tu kujipitishia. Kwa hiyo wazo langu hata kama hizo posho zitaongezwa au kupunguzwa, ziwalenge pia watumishi wengine maana nao wanalipa hizo bill kama hao vigogo, tena unaweza kukuta hao vigogo tayari wamepewa nyumba, magari na madereva yanayogharamiwa na serikali.
Lakini pia , utakuta shughuli nyingi kwa mujibu wa bajeti na action plan hazipewi kipaumbele katk utekelezaji hasa pindi fedha za matumizi mengineyo zinapoletwa ktk mafungu husika.

Utakuta fedha za oc zikija tu, wakuu wa idara wanajiangalia wao kwanza yaani utilities kwanza kazi badae.

Ndio maana utakuta shughuli nyingi hazikamiliki kutekelezwa mwaka hadi mwaka kutokana na kutopewa kipaumbele wakati fedha zinapokuja.

Hivyo, naishauri serikali kupitia bunge letu tukufu wafanye mabadiliko ya sheria ya utilities ili fedha hizo zilipwe au zijumuishwe kwenye mishahara yao ili kusudi fedha za kila mwezi zije kwa ajili ya kutekeleza shughuli zilizopangwa kwa mujibu wa bajeti na action plans.

Hii itasaidia kupunguza carry over activities kila mwaka.
 
Kwani unachoshadidia hapo ni kitu gani, umeweka justification zozote za kupunguzwa hizo posho kutoka 260,000/- hadi 60,000/-. Kwani gharama za kupiga simu na umeme zimepungua sana, vipi maji, usafiri wa kwenda na kurudi kazini, nyumba au umekuja kubwabwaja tu ukitegemea hao watumishi wataishi kwa miujiza. Mnashindwa kulipa stahiki za watumishi mnatuletea vimahesabu visivyo na kichwa wala miguu. bullshit..
Mkuu kwahiyo unamaanisha kuwa wakuu wa vitengo ndio pekee hawatakiwi kuishi kwamiujiza ila walio chini yao ni sawa kuishi kimiujiza?
 
Tarehe 5/10/2019 waziri mkuu kassim majaliwa alitembelea halmashauri ya wilaya ya mkalama ya huko mkoani singida.

Katika ziara yake alipata fursa ya kuongea na watumishi wa halmashauri hiyo.

Moja ya issue iliyojitokeza ni kuhusiana na suala la utilities za mkurugenzi wa halmashauri hiyo enj. Godfrey mwambe ambaye hulipwa utilities Kila mwezi kwa mujibu ya sheria zilizopo za kiutumishi.

Ambapo kwa mwezi hulipwa sh 230,000 kwa ajili ya bill ya umeme na sh 260,000 ni kwa ajili ya mawasiliano,jumla kuu kwa mwezi ni sh 490,000 kumbuka hii ni nje ya mshahara.

Huyo ni mkurugenzi mmoja tu, je kwa halmashauri 186 ni kiasi gani cha fedha kitatumika kuwalipa hawa wakurugenzi?.

Je kwa ofisi za wakuu wa mikoa ni wakuu wa idara wangapi hulipwa 490,000 kila mwezi?

Je kwa ofisi za ma DAS nchi nzima ,ma DAS wangapi hulipwa 490,000 kila mwezi?

Je kwenye mawizara, ni wakurugenzi wangapi hulipwa 490,000 kila mwezi?

Je kwenye taasisi na wakara wa Serikali , ni viongozi wangapi hulipwa 490,000 kila mwezi?.

Tuchukulie mfano tu kwenye ngazi za mikoa, wilaya na halmashauri ni kiasi gani cha fedha hutumika kuwalipa viongozi hizo stahiki ( estimate).

Ofisi za wakuu wa mikoa

Assume ofisi ina wakuu wa idara 8 na viongozi top 2 ( RC na RAS), jumla 10 viongozi.

10 viongozi wenye utilities*490,000 utilities*26 idadi ya mikoa=sh 127,400,000 utilities kwa mwezi

Kwa ngazi za wilaya ( madas)

Assume kila wilaya ina watani wa madas 6.

Assume kuna wilaya 176 nchi nzima

6*176*490,000=517,440,000 utilities kwa mwezi

Ngazi za halmashauri .

Assume kuna viongozi 14 wanaolipwa utilities.

Assume pia kuna halmashauri 186 nchi nzima.

14*186*490,000=1,275,960,000 utilities kwa mwezi.

Jumla kuu=1,920,800,000 .

Hoja yangu, hivi ni kwanini serikali isibadirishe sheria ili hawa viongozi walipwe sh 60,000 kwa ajili ya umeme na 60,000 kwa ajili ya mawasiliano na sh 370,000 zitakazo baki zikatumika kuajiri vijana walioko mtaani .


Kwa hesabu ifuatayo:

Sh 120,000 utilities per month* 3920 idadi ya viongozi ngazi tajawa( estimate)=470,400,000 hizi ndizo zitumike kwa ajili ya utilities.

Sh 370,000*3920 =Sh 1,450,400,000 hizi ndizo zitumike kuwajiri vijana.

Vijana wangapi wataajiriwa kwa sh 1,450,400,000 .

Sh 1,450,400,000/725,000 mshahara wa afisa wa kawaida kwa mwezi

=Vijana 2000 ndio watakao ajiriwa iwapo Serikali itaamua kubadili sheria na kuwapunguzia utilities viongozi wa ngazi ya mkoa, wilaya na halmashauri.

Ushauri:

Ushauri wangu kwa Serikali yetu ya awamu ya tano inayoonhozwa na Rais wetu mpendwa Dr jpm .

1. Sheria ya stahiki kwa viongozi wa Serikali ipitiwe upya ili kuwapunguzia utilities zao kwa mwezi badala ya kuwalipa 490,000 kwa mwezi inatakiwa iwalipe 120,000 kwa mwezi. Kumlipa mtu mmoja sh 490,000 kwa mwezi nje ya mshahara ni kufuru kabisa . Je watumishi wa kada za chini wanaolipwa sh 400000 kwa mwezi wao waishije ? Wao ndio hawatakiwi kutumia umeme?, wao ndio hawastahili kufanya mawasiliano?

2. Serikali kupitia Wizara ya menejimenti ya utumishi wa umma ifanye hesabu ili kujua ni kiasi gani cha fedha zikipunguzwa zitatumika kuwaajiri vijana wetu wanaoranda randa na mabahasha mitaani kutafuta ajira. ( hesabu ifanyike kwa viongozi wote wa serikali na taasisi zake).

3. Serikali ifanye uchunguzi wa kina kubaini viongozi wahujumu uchumi wanaojilipa fedha bila utaratibu na kuwafungulia mashitaka ya uhujumu uchumi kwa maana haiwezekani kiongozi, Serikali inakulipa sh 600,000 kwa ajili ya nyumba, sh 490,000 kwa ajili ya utilities lakini bado unaiibia.

4. Serikali fanyeni uhakiki wa perdiem zote zilizokwisha lipwa kwa viongozi wa Serikali, kwani kwa kufanya hivyo mnaweza kugundua kuna baadhi ya viongozi walilipwa fedha za kwenda kufanya shughuli za supervision kwenye ngazi za mikoa/ wilaya lakini hawakwenda badala yake wanaacha maafisa waende wenyewe wanabaki maofisini huku wakisubiri taarifa na wao wajiandike kama walishiriki kumbe hakuna.

5. Wizara ya utumishi mnapaswa kufanya utafiti wa kujustify matumizi ya hizi utilities kama zinaendana na hali halisi ya sasa ya bei ya huduma hizo .kwa kuzingatia hivi sasa bei ya umeme iko chini sana ambapo kila mtanzania anajimudu kununua unit za umeme .

Sasa utabaki unajiuliza hivi hyo 230,000 wakuu hawa wana viwanda vya kukamua alizetu huko majumbani??? Au wana taasisi gani huko?

Yaani bill ya umeme ya mkuu wa idara iko sawa na taasisi au baadhi ya ofisi za wakuu wa mikoa .

Sheria ipitiwe ipya kwa kuanza na utafiti kwanza


Naomba ushauri huu ufanyiwe kazi kwani vijana wengi tuko mtaani tukitaabika.

Viva jpm ,piga kazi baba yetu. Sisi watanzania wazalendo tuko nawe pamoja katika kuhakikisha rasilimali zinatumika kwa mujibu wa utaratibu uliowekwa.

Umetumwa na mabeberu kutaka kutuchafulia amani yetu, vita vikitokea watakao athirika ni wanawake na watoto .Alisikika mlevi mmoja.
 
Mkuu kwahiyo unamaanisha kuwa wakuu wa vitengo ndio pekee hawatakiwi kuishi kwamiujiza ila walio chini yao ni sawa kuishi kimiujiza?
Wote wanastahili kulipwa allowances, kama hawalipwi ni uporaji au tuseme ni unyonyaji
 
Back
Top Bottom