Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,744
- 5,446
Huko umekwenda mbali mkuu, kuzuia kodi na stahili nyingine za wafanyakazi sio sawa, ndio maana bado tunashangaa kwa nini wafanyakazi wa serikali hawajarekebishiwa mishahara yao tangu JPM aingie madarakani.
Vv
Vv