Habari,
Mm ni fundi simu na ninapenda kuzidi kujikita zaidi katika kupata maarifa mapya ya kazi yangu so kuna suala la kubadilisha Memory (internal), Proccessor, Power IC.
Napenda kujua kubadilisha hivyo vitu haswa kwny simu hizi za MTK, SPD na Qualcom. Hivyo ningependa kujua ni vifaa gani natakiwa niwe navyo na vinapatikana wapi na kwa bei gani?
Pia mambo ya kuzingatia katika zoezi la kubadilisha vifaa hivyo