Marekani sio mwanachama wa ICC.Marekani ilisema hakuna hata mwanajeshi wake mmoja atayeshitakiwa huko ICC regardless amefanya makosa gani ya kivita.
So Icc ni kwa ajili ya nchi zenu Maskini lkn sio kwa ajili ya Super powers.
Ila hizi shithole countries ndio mwanachama wa ICC sio?Marekani sio mwanachama wa ICC.
Ana haki ya kukataa kushtakiwa ICC!
Sio zote. Hata Burundi ilishajitoa kwa kuogopa kushughulikiwa.Ila hizi shithole countries ndio mwanachama wa ICC sio?
Sasa Burundi na yenyewe si ni shithole country tu.Sio zote. Hata Burundi ilishajitoa kwa kuogopa kushughulikiwa.
Lakini ubaya wa kujitoa ni kwamba hiyo haizuii ICC kuendesha mashtaka ya uhalifu uliotokea kabla ya nchi kujitoa!
Hahahahh waliogopa kipigo cha mbwa mwitu.Ila ya Mange Kimambi ilishindwa hapa bongi hahah.
Hahaha hahaha haaaaa... Kizazi cha chief mangungo... Vizazi vya kinjeketile na mkwawa vimesepa... Vimebak vya magi meli mangi sinasijui lini watanzania watakuwa na uthubutu wa namna hiyo...
Wewe nilikuona uko kiintelectual zaidi lkn ulivomaliza ukawa kama hao pro Putin tu.....upande wako unaonekana tayariPutin na Russia yake inakuzwa humu jamii forums jukwaa la kimataifa tu, lakin haina lolote, hata hao wanaoikuza ukiwauliza huyo putin na russia wake wana nini, wataanza kukutajia mabunduki na mabomu tu! Watu wanajua Marekani, Japan, China, Uingereza, ujeruma, Ufaransa hadi huko ikwiriri wanazijua hizo nchi.
Utaona mkuu kitakachowapata jeshi la China linaelekea hukoKinacho tokea sasa hivi Hongkong ni nini ? Mbona hao Wachina hawatumii hiyo technique ya Tiananmen Square ?
Dunia ya leo sio ya jana mjomba acha kuishi kwa mazoea .
Walijaribu kuweka kambi airport waulize kwasasa kama bado wapo airport na waliapa hawatoondoka airport.Kinacho tokea sasa hivi Hongkong ni nini ? Mbona hao Wachina hawatumii hiyo technique ya Tiananmen Square ?
Dunia ya leo sio ya jana mjomba acha kuishi kwa mazoea .
Duuuh salaaaalePutin na Russia yake inakuzwa humu jamii forums jukwaa la kimataifa tu, lakin haina lolote, hata hao wanaoikuza ukiwauliza huyo putin na russia wake wana nini, wataanza kukutajia mabunduki na mabomu tu! Watu wanajua Marekani, Japan, China, Uingereza, ujeruma, Ufaransa hadi huko ikwiriri wanazijua hizo nchi.
sio kwa wajamaa,watabondwa hao utawahurumia...Hapo atawapoza kwa kurudi kwenye uwaziri mkuu. Ila nguvu ya umma haijawahi kushindwa.
Dar tuanzie ufipa kumng'oa Mugabehuu upepo naomba uanze kuvuma na hapa east africa. na kama itapendeza naomba uanze kuvuma kigali au kampala halafu ifate dar es salaam, arusha na mwanza.
Walijaribu kuweka kambi airport waulize kwasasa kama bado wapo airport na waliapa hawatoondoka airport.
Mlikuwa bado wengine hamjazaliwa wakati wa maandamano ya Tiananmen Square kule China. Kilichowapata wale vijana wa Chuo Kikuu hakiwezi kusahaulika hadi leo! Putin anaweza kutumia technique ile ya Wachina