Kwa maandamano haya dikteta Putin anaondoka, Pia huko Hongkong hakukaliki, wanasema ni USA anashnikiza

Mlikuwa bado wengine hamjazaliwa wakati wa maandamano ya Tiananmen Square kule China. Kilichowapata wale vijana wa Chuo Kikuu hakiwezi kusahaulika hadi leo! Putin anaweza kutumia technique ile ya Wachina
It was 1986 when the aftermath happened aisee wale vijana wa chuo waliokuwa wamenunuliwa na kuhamasisha vurugu walipata tabu sana. Lucky to them baadhi walipewa aslyum na nchi zilizokuwa zina sponsor hayo maandamano mpaka leo wanajuta. For russian matter aisee wasahau japo siku hazigandi in record mtawala aliyetoka madarakani kwa vurugu za wanainchi ni Mfalme Tsar pekee yake 1917 chini ya ufuasi wa wafanyakazi waliogoma wakiongozwa na Comrade Lenin, that's the only bizarre encounter of mass strikes in their nation. Hao walioanza wajiandae kutafuta aslyum huko wanakofadhiliwa mapema kabla maji hayajawa moto maana wata KWIVA kweli kweli..!!
 
Mlikuwa bado wengine hamjazaliwa wakati wa maandamano ya Tiananmen Square kule China. Kilichowapata wale vijana wa Chuo Kikuu hakiwezi kusahaulika hadi leo! Putin anaweza kutumia technique ile ya Wachina
Kinacho tokea sasa hivi Hongkong ni nini ? Mbona hao Wachina hawatumii hiyo technique ya Tiananmen Square ?

Dunia ya leo sio ya jana mjomba acha kuishi kwa mazoea .
 
Mlikuwa bado wengine hamjazaliwa wakati wa maandamano ya Tiananmen Square kule China. Kilichowapata wale vijana wa Chuo Kikuu hakiwezi kusahaulika hadi leo! Putin anaweza kutumia technique ile ya Wachina

Ile TS ni uuaji wa wanadamu na yule aliefanya order ile lipunguani la ajabu sana!

Na ni maajabu upo hapa kushabikia the darkest time in human history ya vifo vya wanadamu wapenda demokrasia!

TS ni tukio baya kabisa kwa serikali ya taifa la China in history na halitakaa lijirudie popote duniani maana worlds powers hazitaweza ruhusu upumbavu huo wa kuua wanadamu kama kumbikumbi!

Tusishabikie mauaji namna hii!

Show some respect to human souls!

Ndio worlds chatter,ukizengua ni The Hague mapema kabisa!
 
Back
Top Bottom