Kwa kweli Sumaye kachoka sana

Kwa kweli Sumaye kachoka sana

Ghosryder

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
10,708
Reaction score
4,577
Nimemuangalia leo kwenye mkutano wa Kubenea, hata sura imeanza kunyongea na anayoongea yanajikanganya ovyo! nadhani anajutia uamuzi wake wa tamaa ya fedha na uroho wa madaraka. Ye yupo kwenye mkutano wa chadema badala ya kunadi sera za chadema yuko bize kurudiarudia yale yale ya kila siku ya kuishambulia ccm kumbe hajui watu wanamwona ni katuni tu. Hata suti zimemtupa mkono.
 
Ukiona amechoka ujeue kashapata, soon utaelewa..
 
Sumaye anawavua nguo ccm utadhani sio ndugu zake...!!!
 
Wewe unahangaaika na mwoneka wa mtu loh!!!!!! mmh!!!!!

Walichoka watu hadi walikua wanazimia white house na kuipoteza nchi yenye asali na maziwa, mbona hamkuliona hilo.
 
Magufuli hana jipya,ahadi lukuki wakati hata zile za JMK hazijatekelezeka!
 
Bora hata huyo Sumaye anaongea na kueleweka, ana nguvu kwa maoni yangu na ana hoja. Huyo mgombea ndio kabisa, haiba sifuri, nothing significant from Mr Nywele nyeupe...ni kismati tu, au wapumbavu wameamua kupigia jiwe kama walivyoahidi...
 
Uda....hela zetu....tatizo ni gari za mwendo kasiiii ama barabara za mwendo kasi.Tafakari chukja hatua...ndiiiiii Haki lowasaaaaaa
 
Nimemuangalia leo kwenye mkutano wa Kubenea, hata sura imeanza kunyongea na anayoongea yanajikanganya ovyo! nadhani anajutia uamuzi wake wa tamaa ya fedha na uroho wa madaraka. Ye yupo kwenye mkutano wa chadema badala ya kunadi sera za chadema yuko bize kurudiarudia yale yale ya kila siku ya kuishambulia ccm kumbe hajui watu wanamwona ni katuni tu. Hata suti zimemtupa mkono.

Naona Sumaye nae kaongezea kuwavuruga magamba... hahaaaaaaaaaa
 
Sumaye alikuwa na haki zote kuhama Ccm. Miaka 10 alitupwa hata Call moja ya Mh.Rais hajawahi kuona kwn Sim yake, Akina Niki wa Pili, Mwana FA, JB wamekiri mbele ya Rais kupigiwa simu mara kadhaa na Mh.Lakin Sumaye alitupwa kule. MBOWE kajitokeza kumpa Shavu iweje akatae? 2010 Walimsaidia Sana yule Padri Mzinifu kwa siri lakini kura hazikutosha
 
Sumaye hajui anakoenda wala hajitambui,naona uvivu hata kumzungumzia.tamaa ya fisi imemponza
 
Nimemuangalia leo kwenye mkutano wa Kubenea, hata sura imeanza kunyongea na anayoongea yanajikanganya ovyo! nadhani anajutia uamuzi wake wa tamaa ya fedha na uroho wa madaraka. Ye yupo kwenye mkutano wa chadema badala ya kunadi sera za chadema yuko bize kurudiarudia yale yale ya kila siku ya kuishambulia ccm kumbe hajui watu wanamwona ni katuni tu. Hata suti zimemtupa mkono.

We na sumaye nan kachoka????
 
Huyu Jamaa amekuwa waziri mkuu kwa miaka 10 lakini hakuna kitu kabisa.
 
Mwaka huu na majira na msimu huu itabid tuseme msemo mmoja wa marekani.

Haijalishi Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua Obama Kuuonyesh a Ulimwengu Kuwa Marekani ni ya Kila Mtu.

Na sisi watanzania Kwa Umoja wet bila kujali tofauti zetu ndogo nyakati hizi ni nizakusema haijalishi kama Lowassa ataleta Maendeleo au la! ni wakati wa kumchagua LOWASSA wa CHADEMA/ UKAWA ili pia pamoja na ILANI elimu bure, katiba mpya, kufungua mawasiliano hasa reli ya kati pia uuonyesha na kuudhihirishia Ulimwengu kuwa Tanzania Siyo ya cicimu pekee.

Tuma ujumbe huu kwa Watanzania wasiopungua 1000 ili kuamsha na kuchochea mabadiliko ya kweli. Fursa hii ya Mabadiliko tukiipoteza itatuchukua miaka 30 tukikumbuka Mwaka 2015 tulijinyima mabadiliko ya katiba, mfumo, maendeleo.

Lowasa Mabadiliko
Mabadiliko Lowassa.

Samahani pia kama utakwazika imebidi kuonyesha Uzalendo kwa Taifa letu lenye miaka 54 ya Uhuru.

Maajabu likipitwa na hata jirani zetu Kenya aliyepata Uhuru kwa kuchelewa miaka 3 sasa ametupita kimiundo mbinu, elimu, utalii, kilimo, kiuchumi, Katiba Mpya,nk.

Na hata Rwanda iliyotoka vitani miaka ya 90 inatupita ingawa sisi ndio tuliowahi pata Uhuru, kujaliwa Rasilimali hata zisizo duniani mpaka zikaitwa majina yetu kama Tanzanite, mito, maziwa, Bahari-Bandari, vivutio vya utalii, ardhi yenye rutuba rasilimali adimu duniani ili tuanze kukimbia badala ya kutambaa kimaendeleo.

we hukomi tu na ujinga wako wa manyimbo ya kijinga. Kila thread unaleta utumbo huu huu.
 
Back
Top Bottom