GE2025 Kwa kinachoendelea mtaani, ni wazi Tundu Lissu/CHADEMA wana kazi kubwa ,No reforms No election it was wrong timing

GE2025 Kwa kinachoendelea mtaani, ni wazi Tundu Lissu/CHADEMA wana kazi kubwa ,No reforms No election it was wrong timing

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,490
Reaction score
3,316
Habari JF, kwa sasa mivutano na teuzi za wawania Urais ,ubunge na udiwani ndani ya CCM ndio habari kuu mitaani kwa wote wana CCM na wana CHADEMA, maandalizi ya uchaguzi yanaendelea na tuna miezi miwili .

Tundu Lissu na CHADEMA wana kesi ambazo hazijulikani mwisho wake lini na ni nini hatma yake ,CCM na vyama vingine 18 hili hawajali wanaendelea na maandalizi ya uchaguzi October 2025 .

Ni ajabu wana CHADEMA sasa hivi na wao wana mtu wao katika wawania ubunge wa CCM wanataka apite awe mbunge au akatwe .

Binafsi naona hoja ya No reforms No election imechelewa sana tungeanza nayo miaka miwili Nyuma kipindi cha Mheshimiwa Mbowe kwa kuwekewa mkazo mkubwa,Elimu kwa raia , ikiwemo nguvu ya umma na sio kipindi ambacho CCM washaanza michakato ya uchaguzi.

Kwa sasa nini kifanyike ili kwa huu muda mchache REFORMS zifanyike na CHADEMA tushiriki uchaguzi October 2025 ?
 
Chama cha siasa kisichoshiriki uchaguzi yafaa kifutwe kabisa.
Siasa sio uwanaharakati.
mmekaribishwa Ikulu kunywa sharubati na korosho zaidi ya mara mbili lakini mmeendelea kubehave kihuni mbele ya mustakabali wa Taifa.
 
Habari JF, kwa sasa mivutano na teuzi za wawania Urais ,ubunge na udiwani ndani ya CCM ndio habari kuu mitaani kwa wote wana CCM na wana CHADEMA, maandalizi ya uchaguzi yanaendelea na tuna miezi miwili .

Tundu lissu na CHADEMA wana kesi ambazo hazijulikani mwisho wake lini na ni nini hatma yake ,CCM na vyama vingine 18 hili hawajali wanaendelea na maandalizi ya uchaguzi October 2025 .

Ni ajabu wana CHADEMA sasa hivi na wao wana mtu wao katika wawania ubunge wa CCM wanataka apite awe mbunge au akatwe .

Binafsi naona hoja ya No reforms No election imechelewa sana tungeanza nayo miaka miwili Nyuma kipindi cha Mheshimiwa Mbowe kwa kuwekewa mkazo mkubwa ikiwemo nguvu ya umma.

Kwa sasa nini kifanyike ili kwa huu muda mchache REFORMS zifanyike na CHADEMA tushiriki uchaguzi October 2025 ?

..uchaguzi bila chadema utakosa ushindani na utakuwa mufilis.
 
Habari JF, kwa sasa mivutano na teuzi za wawania Urais ,ubunge na udiwani ndani ya CCM ndio habari kuu mitaani kwa wote wana CCM na wana CHADEMA, maandalizi ya uchaguzi yanaendelea na tuna miezi miwili .

Tundu lissu na CHADEMA wana kesi ambazo hazijulikani mwisho wake lini na ni nini hatma yake ,CCM na vyama vingine 18 hili hawajali wanaendelea na maandalizi ya uchaguzi October 2025 .

Ni ajabu wana CHADEMA sasa hivi na wao wana mtu wao katika wawania ubunge wa CCM wanataka apite awe mbunge au akatwe .

Binafsi naona hoja ya No reforms No election imechelewa sana tungeanza nayo miaka miwili Nyuma kipindi cha Mheshimiwa Mbowe kwa kuwekewa mkazo mkubwa ikiwemo nguvu ya umma.

Kwa sasa nini kifanyike ili kwa huu muda mchache REFORMS zifanyike na CHADEMA tushiriki uchaguzi October 2025 ?
Najibu kichwa cha mada tu; hayo mengine sina muda nayo.
Wewe akili yako ni 'one dimensional'? Inazuzuliwa tu kirahisi na vimatukio vya upande mmoja na kusahau kuwa kuna maeneo mengine yanayohitaji kutazamwa?

Fanya hivi: Nenda kamwambie yule Jaji Mwanga, aondoe zuio la CHADEMA kufanya shughuli zake; halafu uje hapa kutoa ripoti za kipuuzi kama hiyo unayojaza hapa.
Unataka tujadili nini, tajkataka za CCM wasiotaka ushindani?
 
Waangalie jinsi ya kurudi kwenye uchaguzi huo ndiyo ukweli
Too late, walivyoanzisha NRNE walifikiri na vyama vingine vitadandia lift kumbe siyo, hiyo agenda ili kufanikiwa ingebebwa na vyama vyote vya upinzani na ingekuwa ni UNYAMA mwingi, arrogance ya TAL ilikuwa ni myopic, kwa sababu chama kimoja hakiwezi fanikisha hilo jambo.
 
Waangalie jinsi ya kurudi kwenye uchaguzi huo ndiyo ukweli
Warudi halafu wakafanyiwe uhuni kama ule uchaguzi serikali za mitaa mwaka jana??
Ili iweje.
Wakirudi kuhalalisha uhuni watakuwa wamebugi sana, kumbuka vyama vingine vyooote ni takataka havina nguvu yoyote kuitisha ccm...anayeangaliwa kitaifa & kimataifa dhidi yao ni CHADEMA tuu!
Ukitaka kujua nguvu ya CHADEMA mfano mdogo tu ni hapo Arusha Mjn mtu kama Makonda asingeshinda uchaguzi wa ubunge dhidi ya CHADEMA endapo reforms zingefanyika uwanja wa ushindani ukiwa sawa!!.
 
..uchaguzi bila chadema utakosa ushindani na utakuwa mufilis.
Uchaguzi utafanyika na maisha yataendelea.
Wahenga walimsema "Heri Tisa kamata kuliko kumi nenda rudi"

Hekima kuu ingewatuma kugombea hata akipatikana Mbunge 1 huyo atatumika kuisemea CHADEMA katika jukwaa rasmi.
Miaka 5 nje ya uwanja watashangaa wenyewe.
 
Mkuu
Uchaguzi utafanyika na maisha yataendelea.
Wahenga walimsema "Heri Tisa kamata kuliko kumi nenda rudi"

Hekima kuu ingewatuma kugombea hata akipatikana Mbunge 1 huyo atatumika kuisemea CHADEMA katika jukwaa rasmi.
Miaka 5 nje ya uwanja watashangaa wenyewe.

Mkuu labda kama wewe haukuwepo hapa nchini kwa miaka mingi.
Laiti ungeshuhudia chaguzi tatu zilizofuatana kuanzia uchaguzi mkuu mwaka 2020.
Jiwe ameturudisha sana nyuma kidemokrasia...na sasa sa100 anayeendeshwa na wahuni naye kashikilia palepale alikoishia mwendazake!.
Itoshe tu kusema, kwasasa hakuna uchaguzi...zoezi zima ni upotevu wa pesa za walipa kodi!!.
 
Warudi halafu wakafanyiwe uhuni kama ule uchaguzi serikali za mitaa mwaka jana??
Ili iweje.
Wakirudi kuhalalisha uhuni watakuwa wamebugi sana, kumbuka vyama vingine vyooote ni takataka havina nguvu yoyote kuitisha ccm...anayeangaliwa kitaifa & kimataifa dhidi yao ni CHADEMA tuu!
Ukitaka kujua nguvu ya CHADEMA mfano mdogo tu ni hapo Arusha Mjn mtu kama Makonda asingeshinda uchaguzi wa ubunge dhidi ya CHADEMA endapo reforms zingefanyika uwanja wa ushindani ukiwa sawa!!.
Reforms kufanyika nje ya ushiriki wa siasa ni ndoto za mtoto mchanga
Uanaharakati si siasa, na ukweli umejidhihirisha, uchaguzi bila CHADEMA hautii doa kwa demokrasia ya vyama vingi
Utopia ya NRNE imeipa faida zaidi CCM kuliko hasara, CDM wasidhani wao ndyo muhimu sana kuliko vyama vingine vya upinzani.
RIP CDM
 
Back
Top Bottom