Kura hatupigii radio, tv, picha, magazeti...wala CCM, ACT.... KURA TUNAMPIGIA LOWASSA....
Lowassa ndio RAIS wetu, ndio KURA zetu tunampigia...!!!
Waache CCM wazunguke na wasanii, wamtangaze mgombea wao kama KUNA PROMOTION ya BIDHAA... sisi HATUJALI tushaamua ni LOWASSA tu...!!!
CCM tushawajua WANACHEZA NA MAISHA YETU...
Sasa KURA yako ndio MAISHA YAKO...!!!
PIGA kura, kuwachinjia mbali CCM... majizi makubwa haya..!!