Kwa kibano hiki Lowassa hatoki

Husipige kelele na watu wachache mitandaoni, jaribu apo unapoishi kuwauliza raisi ni nani!?
 

Njaa mbaya sana.
 
Mwanzo alijifanya anaweza kushindana sasa yameota mbawa


Hakuna mgombea yeyote anayefanya kampeni kwa akili kubwa kama Lowassa.Kura hata zikipigwa kesho Lowassa ni Rais.
Kombe linaenda Monduli mwaka huu
 
Unazani picha au mabango ndo yanapiga kura??? Hahaha kama unadhani ni ndiyo basi utakuwa umekosea. Mi siendi kwenye mkutano wowote ila kura yangu nlishaipiga tangu mwaka jana.
 
Watanzania watu wa ajabu sana pamoja na kuteswa na ccm miaka54 bado wanaikumbatia

Twende na LOWASSA,sina imani na waigaji
 
Mm ni ccm ila nasema ukweli mwaka huu tumezidiwa
 
hata huku Moshi kajaza mabango mengi manspaa nzima akzan kuwa atapata kumbe ukwel tunao sisi.
ndo hvyo hvyo kwa maguful tukakavyomchinja.. kula ccm, kura UKAWA
 

Countdown 36 days. Maneno mengi hayana tija!
 

Kweliiiiiii
 
Lowassa ni mbele tu hadi ikulu haangalii ubavuni wala nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…